DOKEZO Amewasilisha Polisi malalamiko ya ndugu yake kuuawa lakini Askari wa Kituo cha Polisi Kibaha wanamzungusha tu

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kuhusu kumhurumia bashite 🥴
Bashite kama Bashite mimi nimebaki ndugu mtazamaji tu kwa mbali kwenye kaa kona.

Moyo wa mtu kichaka siwezi juu wewe na Bashite nini kinaendelea
 
Mkuu kwanza Pole sana kwa msiba

Pili umejuaje kama marehemu alipigiwa simu akaenda na wakamtaka awalipe laki 5 na wakati unasema walishamnyang'anya simu?

Kabla ya kufa marehemu alikuelezea mtiririko wa matukio yote?
 
Pole Kwa changamoto zinazokukabili maana umempoteza ndugu na Kwa kuwa huna koneksheni umeshindwa kupata haki.Jaribu kuwasiliana na igp Kwa namba hizo pengine unaweza kusikiliza.
 
Bashite kama Bashite mimi nimebaki ndugu mtazamaji tu kwa mbali kwenye kaa kona.

Moyo wa mtu kichaka siwezi juu wewe na Bashite nini kinaendelea
😂😂😂 huo ni uovu mkuu...unanikosea sana
 
0699998899 mpigie IGP now atakusikiliza na ni moja kati ya mapolisi wenye utu na ubinadamu.
 
Hao wapelelezi kwenye vituo vya polisi mi naonaga ni wamchongo tu.....si professional na hawapo kwa ajili ya kazi bali pesa mbele
That's it sasa mtu anakupa tips na bado unamtaka amlete eti mtu aliyeshudia, kazi ya upelelezi ni nini? Nyenzo wanapewa elimu wanapewa zaidi ya yote umepewa na tips, hawa askari noma sana.
 
R I p
Lakini wengi mmesahau kipengere cha wizi wa kokoto, hapo kuna kitu
 
poleni sana, ila hapo kwenye maelezo kuwa walidai 500,000/= naye akasema ana 50,000/= yametolewa na nani? maana kwa mtazamo wangu hiyo ilikuwa sehemu nzuri sana ya kuanzia uchunguzi juu ya mauaji hayo.
note: samahani kama nitakuwa nimekukwaza kwa swali hilo.
 
Wame shiba na vitambi vyao hadi,watu kama Hamza waamke awatie shaba ndo wana shtuka
 
Askari wa siku hizi wamekuwa wazembe , hawataki kufanya majukumu Yao kabisa, sasa kazi ya kumkamata muhalifu ni ya raia au Askari?
Nazani tatizo liko kwenye budget, kuna vituo vingine vinajiendesha vyenyewe,ndiyo maana huwa wanataka uchangie kiasi flani cha pesa, labda utaambiwa weka mafuta kwa defender ili akakamatwe muhalifu wako! Kitaalamu tunasema unachangia uchakavu,au tunagawana umasikini!!
 
Polisi wote wapo hivyo hivyo tu.

Na ndiyo wanaohamasisha haya matukio yaongezeke maana hakuna ufuatiliaji.

Hapo mbona ni rahisi tu kuwapata wahusika,namba iliyowasiliana na marehemu kabla ya tukio si inafahamika.
 
Pamoja na maelezo mazuri,kuna tatizo sehemu.Wakutane tu na kuanza kuzozana bila chanzo?Kuua ni kosa.Wauaji wasakwe.
 
0699998899 mpigie IGP now atakusikiliza na ni moja kati ya mapolisi wenye utu na ubinadamu.
Kweli eee na nikweli ndiye aliongoza oparesheni kule kibiti akina azory pengine wapo au wali disiapia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…