Hata corona walisingizia Tanzania ndo inapeleka maambukizi!Kama kungekua na mtanzania katika hilo jopo la kuwachuja hawa wagombea, lazima Kenya wangesingizia kwamba Tanzania imehusika katika kumuengua Amina Mohammed, hawa watu wanachuki Sana kwa Tanzania.
Ninyi mumeshindwa kukusanya ushuru kwenu, ndio mutaweza kukusanya South Sudan?Tanzanian national appointed head of South Sudan Revenue TZ ni mbele kwa mbele,wakunya walikua na matumaini mengi sana na south sudan,kama nawaona vile walivyonuna kwa habari kama hii 😀
Hata MK254 anawaza akasema Mimi mtanzania sasa kama unajifanya wewe ndio mama huruma wa kitanzania weka NIN yakoKwa taarifa yako mimi ni Mtanzania. Usiifanye hii vita kati ya Kenya na Tanzania. Wewe una roho ya kichawi kabisa. Ukipata nafasi ya kumuua Amina utafanya hivyo japo haumjui na wala hajakukosea chochote. Mama yako sijui ana nafasi gani akilinganishwa na Amina? Ndio maana mnatuma watu kwenda kupiga risasi watu wengine eti ni wasaliti.
Hawa wengine wanaojiita Watanzania bora mh Magufuli anatengeneza kiwanda tu cha mbolea tukawabadili kua mbolea tukuze kilimoHivi wewe unawajua wakenya au unajikomba kwao? Watu ambao walikua wakikesha kuomba Watanzania tupukutishwe na Corona, watu ambao wakiitangazia dunia kwamba Watanzania wanakufa na kudondoka barabarani kama Italy na kwamba Hospitali zimejaa maiti, mbona hukujitokeza kuwalaani?
Tutaendelea kuwachana bila huruma, kama unajisikia uchungu nenda ukajifungue.Hawa wengine wanaojiita Watanzania bora mh Magufuli anatengeneza kiwanda tu cha mbolea tukawabadili kua mbolea tukuze kilimo
niliwah kusema humu kwamba ke wangepenya tungepata shida sana tena sanaaa.....Ningeshangaa sana kama huyu mama angepita. Haiwezikani mtu ambaye hata serikali yake haimuamini wakaamua kumshusha vyeo na kumkabidhi wizara ya mwisho kwa umuhimu nchini, eti dunia imuamini kuongoza biashara, kwanini huko Kenya msingempa wizara ya Biashara au fedha badala yake mumempa kuongoza Akonthee na Francis Kahata?
Eti Mimi mtanzania ,kama anataka aonekane kama mtanzania c aweke namba yake ya nida Kwan mk254 haiwez kusema yeye mtanzaniaTutaendelea kuwachana bila huruma, kama unajisikia uchungu nenda ukajifungue.
Tutaendelea kuwachana bila huruma, kama unajisikia uchungu nenda ukajifungue.
Fear of something is the root of hate for others,and hate within will eventually destroy HATER.✌️Hawa wengine wanaojiita Watanzania bora mh Magufuli anatengeneza kiwanda tu cha mbolea tukawabadili kua mbolea tukuze kilimo
The problem with miccms is not knowing they are their own problemsMnaowatetea hawa nadhani mmepungukiwa na akili, unawatetea watu ambao daily wanakutakieni mabaya katika nchi yenu, watu wanaokuoneni vilaza na wajinga wa mwisho, aliepungukiwa akili pekee ndo anaweza kumpenda na kumsifia adui anaejidhihirisha mbele zake kwa hali zote.
Sasa wewe unadhani mtu yeyote anayefikiria bila kubebewa akili na CCM ni Mkenya? TZ pia ina independent thinkers ambao hawafuati upepo kama wewe na wenzakoEti Mimi mtanzania ,kama anataka aonekane kama mtanzania c aweke namba yake ya nida Kwan mk254 haiwez kusema yeye mtanzania
Wewe sasa hv nishakupuuza nina taarifa yako yote ya kichwa chako .unajivunia kua na bembea [emoji848][emoji848] [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Sasa wewe unadhani mtu yeyote anayefikiria bila kubebewa akili na CCM ni Mkenya? TZ pia ina independent thinkers ambao hawafuati upepo kama wewe na wenzako
Ngozi Okonjo Iweala has a permanent seat in the highest echelon of academic kingdom, indeed she is the pedestal of academic excellence in Africa and far beyond. Although some people out of faulty reason may think Amina is good, but she (Amina) is not more than a school girl when compared with that West African guru.Unakumbuka tuliwahi kulinganisha CV ya Ngozi na Amina, wakenya bado mkawa mnamtetea Amina blindly, na tulipowaambia kwamba Amina hawezi kupambana na Ngozi mkasema ni wivu, sasa kikowapi?, basi hata huko WTO pia wana wivu na Kenya [emoji23][emoji23][emoji23]
80% ngozi ana chance ya kushinda. Amina ni makelele ya wakenya tu, hana sifa za kushika hicho kitu, hata Kenya kwenyewe wamemtoa katika wizara nyeti na kumpa wizara za chini kabisa.Ngozi Okonjo Iweala has a permanent seat in the highest echelon of academic kingdom, indeed she is the pedestal of academic excellence in Africa and far beyond. Although some people out of faulty reason may think Amina is good, but she (Amina) is not more than a school girl when compared with that West African guru.
I can vouch to say Ngozi is the ideal candidate for that mighty post.
Maneno ya kweli...lakini yanauma...Usifurahie matatizo ya wenzio. Shughulika na matatizo yako. Amina is a very successful lady. Kushangilia kwako hakumpunguzii kitu. Kwanza hajui kama upo hapa duniani japo wewe unajua Amina yupo.
Kwa msemo wa kisasa akacheze anapochezagaManeno ya kweli...lakini yanauma...
muonee mwenzako huruma...mpe pole
Si kwa maneno haya
Buhahahahaahahaaa