Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
Ras Wiser...teh teh tehMkuu MUNGU SI MZUNGU,
Naam ndio huyo huyo Matola bint Kahtaan.
Minyoo imeathiri hadi ubongowe!
Teh teh teh!
cc☞ faby
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ras Wiser...teh teh tehMkuu MUNGU SI MZUNGU,
Naam ndio huyo huyo Matola bint Kahtaan.
Minyoo imeathiri hadi ubongowe!
Teh teh teh!
Kwa taarifa nilizozipata punde kutoka nchini Thailand ni kwamba Amina Ngaluma amefarki dunia leo hii.
more updates to come.
Mkuu mambo vp..eti yule maskini mwenye minyoo kutokana na uchafu unamjua??? Naomba mwambie anitafutie nimlipie shule mwanae cc Matola
daah RIP dada
Ndy amepata smatifoni Mkuu,msamehe tu.Ulikua umekufa ukafufuka ukajua bado tupo 2014??
sikuwahi kumuona wala kujua amefariki,kumbe alikuwa na sura nzuri kama sauti yake, napenda ile nyimbo ya Mgumba anapoimba “najiuliza kosa langu silijui kemmy mimi,au kosa langu mwenyezi mungu baba kuniumba mgumba...” may her soul rest in eternal peaceNimekuja source GBL
daah RIP dada