Amini Amini Nawaabieni: Mgombea ajae akiahidi hili amepita kwa kishindo

Amini Amini Nawaabieni: Mgombea ajae akiahidi hili amepita kwa kishindo

Mpanda nyangobe

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2015
Posts
762
Reaction score
1,688
Mgombea yeyote hata asipofanya kampeni kabisa..Ila siku Moja akawa live kwenye tv akautangazia umma kuwa pindi akiwa Tanzania one atafuta TOZO aina zote...!! Baada ya kutamka hivyo nchi itazizima Kwa furaha na Wala asiendelee kuzungukwa mikoani kuchomwa na jua Bure asubiri tu siku ya uchaguzi aone mafuriko ya raia wakiwa front line kumpa kura za kutosha. Lazima ashinde Kwa asilimia 90
 
Kiongozi wa watu vs Mapaka👇😁😁😁

 
Hakuna kitu Kama hicho..ukweli NI kwamba mgombea atakayepitishwa na CCM ndiye atakayeshinda Kama hutaki basi

Ndio atakayeshinda au atakayetangazwa mshindi na tume isiyo huru ya uchaguzi? Tofautisha kushinda na kutangazwa mshindi. CCM imedhihirika haina uwezo tena wa kushinda kwenye uchaguzi wa halali?
 
Hatukatai kuondoa tozo pekee. Atupatie mipango ya kupata mapato kwa vyanzo vingine pia na sio kutukamua wananchi kila siku kwa kodi zile zile
 
una hakika kura za wanuka jasho huwa zianaamua nani awatawale na kuwaburuza vizuri?
 
Kwanini hawatumii zile raslimali wanazosema tunazo hadi wazungu wanatuonea wivu?
 
Back
Top Bottom