Amini Kwamba Wakenya wanatuzidi Comedy Tu

MC pilipili hajui kuchekesha anapiga tu kelele.

#DG
 
Kinachofanya comedy ya kenya ni ile lafudhi ya maneno ,ndio kitu nimenote kuanzia kwa akina mwala mama kajembe,mzee ojwang na hao waliofuatia akina chachirl
Sio lafudhi tu hata jinsi wanavyopangilia zile topic zao ni konki.



#DG
 
Churchill Show ni noma sana, siwezi kosa tazama ntv.. MCA Tricky, MC Jessey, DJ Shiti, David the student, MC hashy, prof Hamo, mamito,zedii, samira naye anakuja vizuri,Churchill, kuna madogo wapya wapya kama watatu hivi wanakuja moto, teacher wanjiku,,YY(huyu jamaa ni msabato),captain Otoyo, Pastor Kulia naona uchungaji umekolea now days simuoni,, Ayeiya poa poa R.I.P Mr Makori...
 

Labda tu nikuambie umewahi zifuatilia shows kama the real house helps of kawangware?(japo imesimama hivi karibuni) Kuna Show inarushwa maisha magic east (wenye dstv wanaijua hii channel) inaitwa Sue na Jonnie kuna Baba yao ambayo inarushwa KTN na nyingine nyingi...

Nadhanj wewe ndio huwafuatilii hawa jamaa...
 
mtafute sleepy david .gasper murume na king wa comedy kenya MC TRICKY
 
I watched one video which was uploaded by churchill..Alikuwa anaongea kuhusu kimombo cha wabongo. Hapo ndipo nilikuja kumfahamu. Wabongo walimkashifu sana.walisema anadhalilisha nchi yao.
Kweli kadhalilisha nchi lakini kaongea ukweli mtupu.
 
Yes mkuu we unawachukuliaje hawa kwa upande wako?
Hao ndio wale ambao mama zetu walikuwa wanawatumia kama silaha kali wakati tulipokuwa vijitoto. Wewe!!! Malizeni chakula hicho chote ama niwaite wale ankoo wa orijino komedi..... marathon ya vijiko inaanza fasta...[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unawajua wote? Mpaka tchr wanjiku?wabongo husema hawajui mkenya yeyote. Leo nimestaajabu ya firaun
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…