Amini Lina Diamond Jide Banana na wengineo

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Hawa kwa sehemu kubwa waliimba uhalisia wengi wao wakiimba moja kwa moja matukio yao halisi yaliyowatokea Ndio maana nyimbo zao nyingi zina hisia za kweli na uhai ndani yake na hazichuji
kwa nyakati tofauti walipofanyiwa mahojiano walieleza kwa uwazi kuwa nyimbo zao hizo ni matukio ya kweli
Chochote chenye uhalisia hubeba hisia za ndani kabisa ambapo kila mmoja ausikiaye ujumbe husika huguswa kwa njia moj au nyingine
Nawapongeza mno
 
Kama nyimbo zipi?

Atatamani - Lina... Niko radhi, Naamini kama wanipenda, mama Kumbena n.k - Banana. Nyimbo karibia zote za Jide huwa anaimba feelings zake binafsi ndio maana zinagusa ukiacha hizi za sikuiz za akina Yahaya ila Jide wa enzi za Machozi, Siri yangu, Usiusemee moyo,Siku hazigandi,Faraja,Machozi ya furaha,Natamani kuwa mtoto n.k huwa anaimba matukio yake binafsi.
 

Kwa hiyo hisia za jide we zinakugusa vp!..
 

Na Yahaya pia ni tukio la kweli
 
Aisee jamani kuna hiz nyimbo za Christian Bella MSALITI na USILIE si mchezoo wajamen jamaaa anaimbaaaaaa
 

kuna kipindi clouds waliweka wimbo wa jide wakati gadner yupo wakawa wanasema yaani

dada yetu ye kila siku analalamika mapenzi garder hebu punguza kumstress dada yetu ilikuwa kwenye jahazi nadhan
 
kuna kipindi clouds waliweka wimbo wa jide wakati gadner yupo wakawa wanasema yaani

dada yetu ye kila siku analalamika mapenzi garder hebu punguza kumstress dada yetu ilikuwa kwenye jahazi nadhan

Teh teh teh lakini huo ndii ukweli Jide anampenda sana G na kipindi kile alikuwa anamzingua mno stress zilikuwa hazimuishi dafa wawatu. Hata wanaume kama mabinti alitoa walipoachana na G wakawa wanamsema anamuimba Gadner kabla ya kurudiana na kufunga ndoa kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…