youngdonats18
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 685
- 443
Kwa uchunguzi uliofanyika kwa muda wa miezi miwili imegundulika kuwa TZ inaongoza kwa idadi kubwa ya macelebrity kwakua asilimia 90 ya watanzania ni macelebrity na hii inatokana na umaarufu tulionao na vijimambo tulivyonavyo.?!
Baada ya kujiongeza nikahisi umaarufu huu umetokana na hisia Kali katika mitandao ya kijamii.
Wewe unahisi ni kwasababu gani?
Baada ya kujiongeza nikahisi umaarufu huu umetokana na hisia Kali katika mitandao ya kijamii.
Wewe unahisi ni kwasababu gani?