Elections 2015 Amini Usiamini, Kama Mwalimu Angekuwa Hai Hadi Leo!, Angemsupport Edward Lowassa!.

Kama mwandishi mbobezi, hebu tuambie, unavyomfahamu mwalimu angekubaliana na suala la bandari na mkataba wa vipengele vile. Au tungesikia kujiuzulu kila kona?
 

Naendelea na My Tribute to this fallen hero, Mwamba wa Kaskazini, kwa kujikumbusha baadhi ya mabandiko yangu kumhusu shujaa huyu mpaka siku atakapo pumzishwa kwenye makao yake ya milele, let's celebrate the life and the times of Edward Lowassa.

RIP Shujaa Laigwanani Comred Edward Ngoyai Ole Lowassa,
Umepigana vita vilivyo vitakatifu, imani umeilinda.
Bwana alileta
Bwana ametwaa,
Jina Lake Lihimidiwe!.

Paskali
 
Nani basi aandike tribute nzito iliyoshiba ? Anzia Lowasacwa AICC hafi huyu wa CDM na kurudi CCM....? Naomba sana P tafakari andika Tribute ya ENL....sidhani JK atakuwa muungwana kuandika na kusema yoote....andika uta edit atayosema JK najua unafiki...pale Monduli....tafadhaliii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…