Omari Makoo
Member
- Sep 6, 2016
- 78
- 39
Kaanza Mourinho hakumtema
Kaja Scolary hajamtema
Kaja Avram Grant hajamtema
Kaja Hiddink hajamtema
Kaja Villas Boas hajamtema
Akaja Di Mateo hajamtema
Akaja Benitez hajamtema
Karudi tena Mourinho hajamtema
Karudi Hidink hajamtema
Na sasa kaja Conte hajamtema
Na hajawahi kuwa na uhakika wa first eleven
Na kila ligi ikiwa inaendelea utasikia dirisha lijalo anatemwa..likifika kimyaaaa..
.
Na hajawahi kutangazwa kwenye vyombo vya habari kuwa anaongezewa mkataba...yeye anaongezewaga kimya kimya tu....
Huyo ni Mikel Obi anangekewa kuwa yule mnyama Ngekewa mwenyewe
Kaja Scolary hajamtema
Kaja Avram Grant hajamtema
Kaja Hiddink hajamtema
Kaja Villas Boas hajamtema
Akaja Di Mateo hajamtema
Akaja Benitez hajamtema
Karudi tena Mourinho hajamtema
Karudi Hidink hajamtema
Na sasa kaja Conte hajamtema
Na hajawahi kuwa na uhakika wa first eleven
Na kila ligi ikiwa inaendelea utasikia dirisha lijalo anatemwa..likifika kimyaaaa..
.
Na hajawahi kutangazwa kwenye vyombo vya habari kuwa anaongezewa mkataba...yeye anaongezewaga kimya kimya tu....
Huyo ni Mikel Obi anangekewa kuwa yule mnyama Ngekewa mwenyewe