Amini usiamini! Nimeokota Tsh milioni 6

Amini usiamini! Nimeokota Tsh milioni 6

teh teh sasa uwe 'kikanga' angalau usiwe 'kikaniki' tena
 
Ushabeba sana na utaendelea kubeba huo ndo ujira wako,waambie sasa wasilete usiku waje muda wowote huduma ipo.
 
Ilikuwa hivi:

Jirani na ninapoishi kuna eneo limetengwa na Manispaa kwa ajili ya kuhifadhi takataka kwa muda kabla gari la Manispaa halijaja kubeba taka hizo.

Wakazi wengi wa mtaa wetu huona uvivu kwenda kumwaga taka ktk chemba hiyo iliyotengwa, badala yake husubiri usiku mwingi kuja kumwaga taka zao jirani kabisa na nyumba yangu.

Asubuhi ilipofika, nikaamka na kukuta furushi la taka jirani na kwangu.

Nikaghadhibika sana

Nikaamua kulibeba furushi hilo na kulipeleka dampo (chemba). Wakati nalikokota, furushi lile likanaswa na kipande cha mti, likapasuka na uchafu ukasambaa.

Hamadi!!!!

Nilichokiona, sikuamini. Nilipigwa butwaa. Baada ya akili kuwa Sawa, nikainama na kuokota na kukimbilia nyumbani, tena chumbani kwangu.

Nimezihesabu. Zipo Tsh 6,000,000 (milioni 6).
Jirani naomba unirudishie pesa yangu. Nakuomba uirudishe pale pale ulipoitoa vinginevyo kichwa chako kitakuwa halali yangu!
 
Ilikuwa hivi:

Jirani na ninapoishi kuna eneo limetengwa na Manispaa kwa ajili ya kuhifadhi takataka kwa muda kabla gari la Manispaa halijaja kubeba taka hizo.

Wakazi wengi wa mtaa wetu huona uvivu kwenda kumwaga taka ktk chemba hiyo iliyotengwa, badala yake husubiri usiku mwingi kuja kumwaga taka zao jirani kabisa na nyumba yangu.

Asubuhi ilipofika, nikaamka na kukuta furushi la taka jirani na kwangu.

Nikaghadhibika sana

Nikaamua kulibeba furushi hilo na kulipeleka dampo (chemba). Wakati nalikokota, furushi lile likanaswa na kipande cha mti, likapasuka na uchafu ukasambaa.

Hamadi!!!!

Nilichokiona, sikuamini. Nilipigwa butwaa. Baada ya akili kuwa Sawa, nikainama na kuokota na kukimbilia nyumbani, tena chumbani kwangu.

Nimezihesabu. Zipo Tsh 6,000,000 (milioni 6).

Usisahau Kumpa Na Mwenyezi Mungu STAHILI Yake 10% Mkuu. Uko Wapi Na Mimi Nikufuate NIJIPATANISHE Na Wewe Niupate Huo UPAKO Wako Ili Nami Sasa Ikibidi Niokote Tsh Milioni 60?
 
muwe mnatuonea, yaani siku haiwezi kuisha hivi hivi!
 
506px-Lucky_Diamond_Rich_face.jpg
zanguuuuuuuuuuuuuu
 
Uo n uongo wa hali ya juu mana saa iz ungekuwa umepata izo 6 mil usingewaza hata ku post hii habar humu ndan badala yake ungekuwa bar lete lete lete
 
Ilikuwa hivi:

Jirani na ninapoishi kuna eneo limetengwa na Manispaa kwa ajili ya kuhifadhi takataka kwa muda kabla gari la Manispaa halijaja kubeba taka hizo.

Wakazi wengi wa mtaa wetu huona uvivu kwenda kumwaga taka ktk chemba hiyo iliyotengwa, badala yake husubiri usiku mwingi kuja kumwaga taka zao jirani kabisa na nyumba yangu.

Asubuhi ilipofika, nikaamka na kukuta furushi la taka jirani na kwangu.

Nikaghadhibika sana

Nikaamua kulibeba furushi hilo na kulipeleka dampo (chemba). Wakati nalikokota, furushi lile likanaswa na kipande cha mti, likapasuka na uchafu ukasambaa.

Hamadi!!!!

Nilichokiona, sikuamini. Nilipigwa butwaa. Baada ya akili kuwa Sawa, nikainama na kuokota na kukimbilia nyumbani, tena chumbani kwangu.

Nimezihesabu. Zipo Tsh 6,000,000 (milioni 6).
Usilale nazo gheto leo night wenyewe watakuja kukugongea
 
Ilikuwa hivi:

Jirani na ninapoishi kuna eneo limetengwa na Manispaa kwa ajili ya kuhifadhi takataka kwa muda kabla gari la Manispaa halijaja kubeba taka hizo.

Wakazi wengi wa mtaa wetu huona uvivu kwenda kumwaga taka ktk chemba hiyo iliyotengwa, badala yake husubiri usiku mwingi kuja kumwaga taka zao jirani kabisa na nyumba yangu.

Asubuhi ilipofika, nikaamka na kukuta furushi la taka jirani na kwangu.

Nikaghadhibika sana

Nikaamua kulibeba furushi hilo na kulipeleka dampo (chemba). Wakati nalikokota, furushi lile likanaswa na kipande cha mti, likapasuka na uchafu ukasambaa.

Hamadi!!!!

Nilichokiona, sikuamini. Nilipigwa butwaa. Baada ya akili kuwa Sawa, nikainama na kuokota na kukimbilia nyumbani, tena chumbani kwangu.

Nimezihesabu. Zipo Tsh 6,000,000 (milioni 6).


Kawadanganye watoto wenzako huko fb
 
Possible kabisa, no nilishawahi okota milioni bilicanas pale uwanjani mchana kweupeeeeee
 
Ilikuwa hivi:

Jirani na ninapoishi kuna eneo limetengwa na Manispaa kwa ajili ya kuhifadhi takataka kwa muda kabla gari la Manispaa halijaja kubeba taka hizo.

Wakazi wengi wa mtaa wetu huona uvivu kwenda kumwaga taka ktk chemba hiyo iliyotengwa, badala yake husubiri usiku mwingi kuja kumwaga taka zao jirani kabisa na nyumba yangu.

Asubuhi ilipofika, nikaamka na kukuta furushi la taka jirani na kwangu.

Nikaghadhibika sana

Nikaamua kulibeba furushi hilo na kulipeleka dampo (chemba). Wakati nalikokota, furushi lile likanaswa na kipande cha mti, likapasuka na uchafu ukasambaa.

Hamadi!!!!

Nilichokiona, sikuamini. Nilipigwa butwaa. Baada ya akili kuwa Sawa, nikainama na kuokota na kukimbilia nyumbani, tena chumbani kwangu.

Nimezihesabu. Zipo Tsh 6,000,000 (milioni 6).
Kuna hela zangu sizion ndani!!! Ngoja nakuja hapo sasa hivi
 
Haya amka kapige mswaki, ndoto yako ilikua nzuri. Alafu upunguze kulala mchana mana ina ndoto za kipuuzi. pole sana mkuu
 
Shigongo kazeeka siku hizi, anahitaji vijana hodari wa kutunga hadithi zinazokaribiana na ukweli kama hizi, fursa hiyo.
 
Siyo kwamba uko ndotoni wewe? Subiri uamke ujue kama ni kweli umeokota au la.
 
Back
Top Bottom