Kamata fursa twende zetu...I like thatNna kapasso nauza hapa mkuu,inakuwaje sasa?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamata fursa twende zetu...I like thatNna kapasso nauza hapa mkuu,inakuwaje sasa?!
Jirani naomba unirudishie pesa yangu. Nakuomba uirudishe pale pale ulipoitoa vinginevyo kichwa chako kitakuwa halali yangu!Ilikuwa hivi:
Jirani na ninapoishi kuna eneo limetengwa na Manispaa kwa ajili ya kuhifadhi takataka kwa muda kabla gari la Manispaa halijaja kubeba taka hizo.
Wakazi wengi wa mtaa wetu huona uvivu kwenda kumwaga taka ktk chemba hiyo iliyotengwa, badala yake husubiri usiku mwingi kuja kumwaga taka zao jirani kabisa na nyumba yangu.
Asubuhi ilipofika, nikaamka na kukuta furushi la taka jirani na kwangu.
Nikaghadhibika sana
Nikaamua kulibeba furushi hilo na kulipeleka dampo (chemba). Wakati nalikokota, furushi lile likanaswa na kipande cha mti, likapasuka na uchafu ukasambaa.
Hamadi!!!!
Nilichokiona, sikuamini. Nilipigwa butwaa. Baada ya akili kuwa Sawa, nikainama na kuokota na kukimbilia nyumbani, tena chumbani kwangu.
Nimezihesabu. Zipo Tsh 6,000,000 (milioni 6).
Ilikuwa hivi:
Jirani na ninapoishi kuna eneo limetengwa na Manispaa kwa ajili ya kuhifadhi takataka kwa muda kabla gari la Manispaa halijaja kubeba taka hizo.
Wakazi wengi wa mtaa wetu huona uvivu kwenda kumwaga taka ktk chemba hiyo iliyotengwa, badala yake husubiri usiku mwingi kuja kumwaga taka zao jirani kabisa na nyumba yangu.
Asubuhi ilipofika, nikaamka na kukuta furushi la taka jirani na kwangu.
Nikaghadhibika sana
Nikaamua kulibeba furushi hilo na kulipeleka dampo (chemba). Wakati nalikokota, furushi lile likanaswa na kipande cha mti, likapasuka na uchafu ukasambaa.
Hamadi!!!!
Nilichokiona, sikuamini. Nilipigwa butwaa. Baada ya akili kuwa Sawa, nikainama na kuokota na kukimbilia nyumbani, tena chumbani kwangu.
Nimezihesabu. Zipo Tsh 6,000,000 (milioni 6).
Usilale nazo gheto leo night wenyewe watakuja kukugongeaIlikuwa hivi:
Jirani na ninapoishi kuna eneo limetengwa na Manispaa kwa ajili ya kuhifadhi takataka kwa muda kabla gari la Manispaa halijaja kubeba taka hizo.
Wakazi wengi wa mtaa wetu huona uvivu kwenda kumwaga taka ktk chemba hiyo iliyotengwa, badala yake husubiri usiku mwingi kuja kumwaga taka zao jirani kabisa na nyumba yangu.
Asubuhi ilipofika, nikaamka na kukuta furushi la taka jirani na kwangu.
Nikaghadhibika sana
Nikaamua kulibeba furushi hilo na kulipeleka dampo (chemba). Wakati nalikokota, furushi lile likanaswa na kipande cha mti, likapasuka na uchafu ukasambaa.
Hamadi!!!!
Nilichokiona, sikuamini. Nilipigwa butwaa. Baada ya akili kuwa Sawa, nikainama na kuokota na kukimbilia nyumbani, tena chumbani kwangu.
Nimezihesabu. Zipo Tsh 6,000,000 (milioni 6).
Ilikuwa hivi:
Jirani na ninapoishi kuna eneo limetengwa na Manispaa kwa ajili ya kuhifadhi takataka kwa muda kabla gari la Manispaa halijaja kubeba taka hizo.
Wakazi wengi wa mtaa wetu huona uvivu kwenda kumwaga taka ktk chemba hiyo iliyotengwa, badala yake husubiri usiku mwingi kuja kumwaga taka zao jirani kabisa na nyumba yangu.
Asubuhi ilipofika, nikaamka na kukuta furushi la taka jirani na kwangu.
Nikaghadhibika sana
Nikaamua kulibeba furushi hilo na kulipeleka dampo (chemba). Wakati nalikokota, furushi lile likanaswa na kipande cha mti, likapasuka na uchafu ukasambaa.
Hamadi!!!!
Nilichokiona, sikuamini. Nilipigwa butwaa. Baada ya akili kuwa Sawa, nikainama na kuokota na kukimbilia nyumbani, tena chumbani kwangu.
Nimezihesabu. Zipo Tsh 6,000,000 (milioni 6).
Kuna hela zangu sizion ndani!!! Ngoja nakuja hapo sasa hiviIlikuwa hivi:
Jirani na ninapoishi kuna eneo limetengwa na Manispaa kwa ajili ya kuhifadhi takataka kwa muda kabla gari la Manispaa halijaja kubeba taka hizo.
Wakazi wengi wa mtaa wetu huona uvivu kwenda kumwaga taka ktk chemba hiyo iliyotengwa, badala yake husubiri usiku mwingi kuja kumwaga taka zao jirani kabisa na nyumba yangu.
Asubuhi ilipofika, nikaamka na kukuta furushi la taka jirani na kwangu.
Nikaghadhibika sana
Nikaamua kulibeba furushi hilo na kulipeleka dampo (chemba). Wakati nalikokota, furushi lile likanaswa na kipande cha mti, likapasuka na uchafu ukasambaa.
Hamadi!!!!
Nilichokiona, sikuamini. Nilipigwa butwaa. Baada ya akili kuwa Sawa, nikainama na kuokota na kukimbilia nyumbani, tena chumbani kwangu.
Nimezihesabu. Zipo Tsh 6,000,000 (milioni 6).
Kweli hata mimi ni TomasoWEKA PICHA