Amini usiamini wanaume wengi huishi hivi katika maghetto

Amini usiamini wanaume wengi huishi hivi katika maghetto

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Labda itokee mwanamke anataka aingizwe ndo usafi itafanyika na vitu itapangwa. Lazima msoma maada hii mmojawapo ghetto lake liko hivo shaghalabaghala.Kweli hapo ukose fungus? Mmba? Chawa? Miwasho? Toa hata hela ufanyiwe usafi kama huna Tena morali ya kujifanyia usafi.

_20240702_213534.JPG
 
Labda itokee mwanamke anataka aingizwe ndo usafi itafanyika na vitu itapangwa. Lazima msoma maada hii mmojawapo ghetto lake liko hivo shaghalabaghala.Kweli hapo ukose fungus? Mmba? Chawa? Miwasho? Toa hata hela ufanyiwe usafi kama huna Tena morali ya kujifanyia usafi.
Ushapokea umbea kwa mkeo kama nilivokushauri uvae kanga
 
Aunt yangu alivyonilea kitu cha kwanza nikiamka lazima nitandike kitanda, kutupatupa nguo ni marufuku, kila kitu kinatakiwa kikae mahali yake , hivyo hivyo ndo naishi hadi leo hata kama gheto sijafanya usafi wiki nzima huwezi kukuta uchafu kiasi hicho, kuweka vitu kwa mpangilio ni kipimo cha nidham.
 
Vizri sana..
Sio kila siku wewe na watu wa kusini
Personal attacks often involve someone making damaging remarks relating to somebody's lifestyle or choices. These types of attack can include comments that question a person's intelligence, values, integrity, motivations or decisions.
 
Ushapokea umbea kwa mkeo kama nilivokushauri uvae kanga
Personal attacks often involve someone making damaging remarks relating to somebody's lifestyle or choices. These types of attack can include comments that question a person's intelligence, values, integrity, motivations or decisions.

Ila Hutakuja kuniweza watu kama nyie mlikuwepo
 
Don't generalize, sisi wengine tulifundishwa usafi tangu tukiwa wadogo.
Mwanaume anayejielewa lazima azingatie usafi wa sehemu anayokaa sio lazima awe na mwanamke
 
Aunt yangu alivyonilea kitu cha kwanza nikiamka lazima nitandike kitanda, kutupatupa nguo ni marufuku, kila kitu kinatakiwa kikae mahali yake , hivyo hivyo ndo naishi hadi leo hata kama gheto sijafanya usafi wiki nzima huwezi kukuta uchafu kiasi hicho, kuweka vitu kwa mpangilio ni kipimo cha nidham.
Mambo ya kike hayo, tafuta mwana mke awe anafanya
 
Hiyo miguuni shisha?

BTW kikubwa TV na king'amuziView attachment 3032005
Ila nilicho observe maishani tunaishi na vitu vingi tusivyovihitaji ndo maana vinaleta uzito magetto yenyewe madogo madogo kama ulivyowahi kushauri vitu viwe quality ila vichache...mfano sebuleni unakutana na inch 32 smart na DSTV hapo.. Na Ka sofa kamoja na carpet matata.. Imeisha hio Kwa upande wa ukumbini ukijaliwa Ka fridge fresh
 
Back
Top Bottom