Amini usiamini wanaume wengi huishi hivi katika maghetto

Amini usiamini wanaume wengi huishi hivi katika maghetto

Nyie ndio maana wake/madem zenu wakija kutembea ktk nyumba zetu huwa wanapazoea sana na kujiachia..

Kuna workmate mmoja hivi kuna siku alikuw anapita maeneo karibu na kwangu akanichek anipe Hi then aendelee na safari zake, kufika home hapa nikamzingatia msosi na mivinyo (hapa nina mini-bar sitting room) basi bhana.. kuanzia saa sita mchana mpk saa 2 usiku Dada wa watu hata dalili ya kuondoka hana.. miguu juu ya sofa.. nikaona hii ishakua lawama hii..

NB: Sikumla..

Ila kila siku simu nyingii upo home nije? Mara sijui kitanda chako kina springs? Nije nipike etc..

Ukiwa na gheto/nyumba chafu chafu hata mtu akija harudi tena hata kwa fimbo.

Moja ya signs za uchafu ni uwepo wa mdudu wa aina yoyote ile.
 
Nyie ndio maana wake/madem zenu wakija kutembea ktk nyumba zetu huwa wanapazoea sana na kujiachia..

Kuna workmate mmoja hivi kuna siku alikuw anapita maeneo karibu na kwangu akanichek anipe Hi then aendelee na safari zake, kufika home hapa nikamzingatia msosi na mivinyo (hapa nina mini-bar sitting room) basi bhana.. kuanzia saa sita mchana mpk saa 2 usiku Dada wa watu hata dalili ya kuondoka hana.. miguu juu ya sofa.. nikaona hii ishakua lawama hii..

NB: Sikumla..

Ila kila siku simu nyingii upo home nije? Mara sijui kitanda chako kina springs? Nije nipike etc..

Ukiwa na gheto/nyumba chafu chafu hata mtu akija harudi tena hata kwa fimbo.

Moja ya signs za uchafu ni uwepo wa mdudu wa aina yoyote ile.
Hujamla lakini anajua kitanda chako kina spring.
 
Ukilelewa malezi ya kichokoraa utaona usafi ni mambo ya kike ila hata jeshini kitu cha kwanza ukiamka ni kutandika kitanda ndo nidham inapoanzia.
Sijakataa, ila ninachosema, haiba ya mwanamke ni usafi ndanni ya nyumba, tafuta mwanamke akusaidie..,
 
Back
Top Bottom