Wewe Mwiba,
Kupiga watu wanaojiandikisha kwako wewe RUKSA siyo?? Kuchoma nyumba za watu kwa kuwa wanajiandikisha wewe waona raha kabisa au vipi??? Acha unafiki wa kumjua Mungu huku unashabikia maovu ya kuwaonea wasio na hatia. Ulitaka uendelee kuwachomea watu nyumba na sasa jeshi limekudhibiti unaanza kulalama, mwone. Usijifanye muislam kumbe pagani na kafir namba moja wewe. Jeshi na liendelee na kazi ya kulinda amani tu Pemba, kama unaona soo basi kimbilia tena Mombasa na usirejee Pemba asilani. Tena usiendelee na agenda hii maana tumechoka na chokochoko zenu wapemba safari hii mkizidisha huo unyambilisi wenu mtakiona cha moto xlkjuyyxzvf mkubwa we.