Amiri Jeshi Mkuu wa Kenya anaogopa Kisumu!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,817
Hii niliisikia siku chache zilizopita ya kwamba Raisi wa Kenya ambaye ndiye Amiri Jeshi Mkuu wa nchi hiyo anaogopa kwenda kutembelea Kisumu ambao ni mji ndani ya nchi ya Kenya, nimesikia ya kwamba ameahirisha mara nyingi sana kwenda huko mpaka pale wazee wa huko watakapokubali yeye aende, hii hali ilinifanya nipigwe na bumbuwazi, Hivi Uhuru Kenyata ni raisi na Amiri Jeshi Mkuu wa Kenya yote au Nairobi na Muran'ga tu?
 
aise? yani huku watu nikuchanganyikiwa wamechanganyikiwa ama? viroba asubuhi hii? Rais wa Kenya aogope kutembea nchi yake? honestly, unaamini ulichokiandika?
 

Danganyika kila siku hudanganyika, yaani shule ulipitia tu kama mtalii anayezuru nchi geni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…