Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Uganda Yoweri Museveni Awapandisha Vyeo Brigedia Jenerali 7 Kuwa Meja Jenerali & Makanali 33 kuwa Brigedia Jenerali

Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Uganda Yoweri Museveni Awapandisha Vyeo Brigedia Jenerali 7 Kuwa Meja Jenerali & Makanali 33 kuwa Brigedia Jenerali

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Rais wa Uganda na Amiri Jeshi Mkuu wa UPDF Mheshimiwa Yoweri Kaguta Museveni amefanya uteuzi kwa kuwapandisha vyeo Majerali na Maofisa Waandamizi wa Jeshi la nchi hiyo.

FB_IMG_16192518715604034.jpg


FB_IMG_16192518756893351.jpg
 
Safari hii mtoto wake hajampandisha? Silioni jina la Muhoozi nani sijui yule.
 
Na 30.4% ya budget yao imeelekezwa kwenye ulinzi!
 
Rais wa Uganda na Amiri Jeshi Mkuu wa UPDF Mheshimiwa Yoweri Kaguta Museveni amefanya uteuzi kwa kuwapandisha vyeo Majerali na Maofisa Waandamizi wa Jeshi la nchi hiyo.

View attachment 1762327

View attachment 1762328Wakati umefika kwa Museveni kuandaa transition team na ang'atuke kwa maslahi mapana ya amani ya Uganda. Sipati picha nini kitatokea iwapo Mungu akamchukua ghafla kama ilivyotokea kwa JPM Tanzania.
 
Back
Top Bottom