Amka usingizini, Sio kila aliefanikiwa kateseka, Pigana ufanikiwe uanzishe kizazi chako kifanikiwe bila mikiki mikiki

Amka usingizini, Sio kila aliefanikiwa kateseka, Pigana ufanikiwe uanzishe kizazi chako kifanikiwe bila mikiki mikiki

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Kuna misemo kwamba ukiona bosi kakalia kiti cha kuzunguka (lugha ya mafumbo kutoboa) ujue kafanikiwa, fanya kazi kama mtumwa uishi kama mfalme, n.k.

Hio misemo ni kwajili yetu tuliotokea familia duni, ili kutoboa ni lazima upambane sana aidha usome sana ubahatike kuajiriwa sehem yenye maslahi, Upambane from scratch kuinua biashara, bahati nasibu inayotokea moja katika kila maelfu, n.k.

Kuna watu wamezaliwa kwenye familia zinazojiweza wazazi / walezi ni ni wafanyabiashara waliotoboa, wakurugenzi wa mashirika, maprofesa vyuoni, majaji, wanaidara wa usalama wenye vyeo vizito, mabalozi, mawaziri, n.k.

Maisha kabla ya kujitegemea

  • anaepushwa na shida za kayumba anapelekwa english medium, masomo anajifunza kwa kiingereza tangu chekechea wenzake wanaanzia form 1, vyoo visafi muda wote, darasani kila mtu ana dawati lake, darasa moja halilizidi wanafunzi 30, kila mwanafunzi ana kitabu chake, Kujifunza computer tangu wadogo, madaftar yakiisha wanapewa shuleni, n.k. wale mnaosema english medium zinalemaza ni self compassion kujifariji na umasikini, Mtoto anaweza kwenda english medium lakini kazi za nyumbani atafanya kama kawaida, hizi ndizo za muhimu zaidi kuzijua ili mtu uweze kujitegemea hapa bongo hata ukiwa na hali ngumu.
  • ana uhakika wa milo mitatu yenye mboga saba
  • akiumwa hospitali zake ni Aghakan
  • Hata bila mkopo ana uhakika wa kwenda chuoni

Maisha ya kujitegemea

Mtu amemaliza chuo tayari kazi inamsubiri, kama kuna interview ni ya kuzuga tu, kateseka kufika alipofika ?

Kama amaeshindwa shule au kamaliza chuo anataka kufanya biashara, tayari familia ina connections na mtandao, kufikia age 35 tayari account inasoma milioni 500+, kateseka kufika alipofika ?

USHAURI

Chukia sana umasikini, Sio jambo la kuzoesha wala kulichukulia poa, Epukana sana na misemo au imani zinazodumaza akili kuufanya umasikini uonekane ni jambo la kawaida
 
Kuna misemo kwamba ukiona bosi kakalia kiti cha kuzunguka (lugha ya mafumbo kutoboa) ujue kafanikiwa, fanya kazi kama mtumwa uishi kama mfalme, n.k.

Hio misemo ni kwajili yetu tuliotokea familia duni, ili kutoboa ni lazima upambane sana aidha usome sana ubahatike kuajiriwa sehem yenye maslahi, Upambane from scratch kuinua biashara, bahati nasibu inayotokea moja katika kila maelfu, n.k.

Kuna watu wamezaliwa kwenye familia zinazojiweza wazazi / walezi ni ni wafanyabiashara waliotoboa, wakurugenzi wa mashirika, maprofesa vyuoni, majaji, wanaidara wa usalama wenye vyeo vizito, mabalozi, mawaziri, n.k.

Maisha kabla ya kujitegemea

  • anaepushwa na shida za kayumba anapelekwa english medium, masomo anajifunza kwa kiingereza tangu chekechea wenzake wanaanzia form 1, vyoo visafi muda wote, darasani kila mtu ana dawati lake, darasa moja halilizidi wanafunzi 30, kila mwanafunzi ana kitabu chake, Kujifunza computer tangu wadogo, madaftar yakiisha wanapewa shuleni, n.k. wale mnaosema english medium zinalemaza ni self compassion kujifariji na umasikini, Mtoto anaweza kwenda english medium lakini kazi za nyumbani atafanya kama kawaida, hizi ndizo za muhimu zaidi kuzijua ili mtu uweze kujitegemea hapa bongo hata ukiwa na hali ngumu.
  • ana uhakika wa milo mitatu yenye mboga saba
  • akiumwa hospitali zake ni Aghakan
  • Hata bila mkopo ana uhakika wa kwenda chuoni

Maisha ya kujitegemea

Mtu amemaliza chuo tayari kazi inamsubiri, kama kuna interview ni ya kuzuga tu, kateseka kufika alipofika ?

Kama amaeshindwa shule au kamaliza chuo anataka kufanya biashara, tayari familia ina connections na mtandao, kufikia age 35 tayari account inasoma milioni 500+, kateseka kufika alipofika ?

USHAURI

Chukia sana umasikini, Sio jambo la kuzoesha wala kulichukulia poa, Epukana sana na mosemo au imani zinazodumaza akili kuufanya umasikini uonekane ni jambo la kawaida, Hata waarabu wanachapa kazi ndio maana wanafanikiwa hawajaridhika na ile misemo ya kudumaza akili kuamini riziki yote anaitoa Allah, Sisi sio wanyama ndio maana tumepewa akili za ziada, Kwa wakristo mnaoshinda makanisani na kuomba sana Mungu wa Israel, nanyi sio wanyama ndio maana mmepewa akili za ziada, waisrael wanamuomba Mungu wa Israel lakini wanachapa kazi.
Unajichanganya, sasa upiganie nini?

Kwanini mnajidanganya hivyo?
 
Mafanikio ya kwanza ni nidhamu.

Ili uwe na nidhamu inabidi uwe na ibada.

Ili uwe na ibada inabidi uwe na dini.
Ili uwe na dini inabidi uwe Muislam.

Kutafuta kipato cha halali Kiislam ni ibada. Bila kupigqana, bila kupambana, fata taratibu za ibada ili uwe na nidhamu ya yote uyafanyayo.

Ukifata hayo, mafanikio ni kama kusukuma mlevi tu.
 
Mfanikio ya kwanza n9 nidgamu.

Ili uwe na nishamu inabidi uwe n ibada.

Ili uwe na ibada inabidi uwe na dini.
Ili uwe na dini inabidi uwe Muislam.

Kutafuta kipato cha halali Kiislam ni ibada. Bila kupigqana, bila kupambana, kufata ratibu za ibada ili uwe na nidhamu ya yote uyafanyayo.

Ukifata hayo, mafanikio ni kama kusukuma mlevi tu.
Hayo mambo ya dini sipingani na umuhimu wake bali ni uzito yanayopewa kupitiliza watu wanafuata maneno kama kondoo bila kuongeza na zao

Mtu anauza vitu vyenye kumuingizia elfu 2 kwa siku anajifariji "Riziki ya mtu hupangwa na Mungu", "Aliepewa kapewa" Yes, anaweza kuwa sahihi lakini kashindwa kutafsiri kwa usahihi kwamba na yeye inabidi awajibike mno mfano kwenda sehemu yenye fursa zaidi, kujiminya kukuza mtaji, kuangalia fursa zenye kipato zaidi eneo alipo, n.k.
 
kuna watu wengi waliozaliwa famili za kimasikini wamefunzwa nidhamu na Ibada, kwanini wengi wao bado masikini ?
Sifahamu vigezo vyako vya umasikini ni vipi?

Twende taratibu, pengine tunaongea channel mbili tofauti.
 
Hayo mambo ya dini sipingani na umuhimu wake bali ni uzito yanayopewa kupitiliza watu wanafuata maneno kama kondoo bila kuongeza na zao

Mtu anauza vitu vyenye kumuingizia elfu 2 kwa siku anajifariji "Riziki ya mtu hupangwa na Mungu", "Aliepewa kapewa" Yes, anaweza kuwa sahihi lakini kashindwa kutafsiri kwa usahihi kwamba na yeye inabidi awajibike mno mfano kwenda sehemu yenye fursa zaidi, kujiminya kukuza mtaji, kuangalia fursa zenye kipato zaidi eneo alipo, n.k.
Kwa hiyo mfano wako wa Ridhwan basi tena, umeshindwa kuutetea, umekuja na mengine? Haya twende.

Mwenye kuifahamu dini vizuri anaelewa kuwa rizki na kipato ni vitu tofauti.

Kipato chako au utajiri wako siyo vyote ni rizki yako. usichanganye ukipato, utajiri na rizki.
 
It’s about life chances

Ndio kwenye kila jamii kuna tabaka la kujipendelea.

Lakini kwenye jamii zingine kuna mazingira ya kufanikiwa kutokana na fursa.

Na kuna jamii zingine fursa hakuna.

Hiyo ndio tofauti ya nchi maskini na nchi tajiri.

Nchi tajiri pamoja na uwepo wa matabaka kuna life chances kwa raia wake wenye elimu au ubinifu.

Nchi maskini life chances ni ndogo sana.

Ndio msingi wa science ya uchumi, na watu kuweka wachumi wenye uwezo wa kutengeneza life chances (opportunities kwa raia wake).

Sasa kama una waziri wa nchi maskini anaekamua maskini na kuwananga juu kama awawezi lipa kodi na tozo, waamie Burundi.

Shida ya Tanzania na Africa ni uwezo wa viongozi. Watu wanaoendesha nchi zilizoendelea uwezo wao sio mzaha-mzaha kabisa.

Waliondelea hawakufika walipo kwa kudra za mungu au kubahatisha; ni nchi ambazo zinaongozwa na werevu mno. Kwa elimu hiyo-hiyo inayotolewa duniani kote. Sema wao hawana mzaha kuwapa watu wasio na ufaulu mzuri.
 
It’s about life chances

Ndio kwenye kila jamii kuna tabaka la kujipendelea.

Lakini kwenye jamii zingine kuna mazingira ya kufanikiwa kutokana na fursa.

Na kuna jamii zingine fursa hakuna.

Hiyo ndio tofauti ya nchi maskini na nchi tajiri.

Nchi tajiri pamoja na uwepo wa matabaka kuna life chances kwa raia wake wenye elimu au ubinifu.

Nchi maskini life chances ni ndogo sana.

Ndio msingi wa science ya uchumi, na watu kuweka wachumi wenye uwezo wa kutengeneza life chances (opportunities kwa raia wake).

Sasa kama una waziri wa nchi maskini anaekamua maskini na kuwananga juu kama awawezi lipa kodi na tozo, waamie Burundi.

Shida ya Tanzania na Africa ni uwezo wa viongozi. Watu wanaoendesha nchi zilizoendelea uwezo wao sio mzaha-mzaha kabisa.

Waliondelea hawakufika walipo kwa kudra za mungu au kubahatisha; ni nchi ambazo zinaongozwa na werevu mno. Kwa elimu hiyo-hiyo inayotolewa duniani kote. Sema wao hawana mzaha kuwapa watu wasio na ufaulu mzuri.
Fursa zipo kila mahali kila siku.

Ukingoja uongozi ukufanyie, kama hauoni wanachokuganyia na kinakushinda kukitumia, unakuwa wewe ndiyo mwenye mapungufu siyo uongozi.

Kwanini wengine waione frsa wewe usizione? Hapo ndipo kqenye tatizo. Unajuwa nia za kulitatuwa ni zipi?
 
Fursa zipo kila mahali kila siku.

Ukingoja uongozi ukufanyie, kama hauoni wanachokuganyia na kinakushinda kukitumia, unakuwa wewe ndiyo mwenye mapungufu siyo uongozi.

Kwanini wengine waione frsa wewe usizione? Hapo ndipo kqenye tatizo. Unajuwa nia za kulitatuwa ni zipi?
Ningependa kusikiliza mtazamo wako kwanza wa solution.
 
Mfanikio ya kwanza n9 nidgamu.

Ili uwe na nishamu inabidi uwe n ibada.

Ili uwe na ibada inabidi uwe na dini.
Ili uwe na dini inabidi uwe Muislam.

Kutafuta kipato cha halali Kiislam ni ibada. Bila kupigqana, bila kupambana, kufata ratibu za ibada ili uwe na nidhamu ya yote uyafanyayo.

Ukifata hayo, mafanikio ni kama kusukuma mlevi tu.
Mfanikio ❌ Mafanikio ✅
n9 ❌ ni ✅
nishamu ❌ nidhamu ✅
kupigqana ❌ kupigana ✅
ratibu ❌ taratibu ✅

Ulienda shuleni kusomea ujinga?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Mfanikio ya kwanza n9 nidgamu.

Ili uwe na nishamu inabidi uwe n ibada.

Ili uwe na ibada inabidi uwe na dini.
Ili uwe na dini inabidi uwe Muislam.

Kutafuta kipato cha halali Kiislam ni ibada. Bila kupigqana, bila kupambana, kufata ratibu za ibada ili uwe na nidhamu ya yote uyafanyayo.

Ukifata hayo, mafanikio ni kama kusukuma mlevi tu.
Watu wengi sana duniani wamepasua maisha kimafanikio bila hata hizo dini zilizoletwa Africa kupitia majahazi, mfano halisi China iliyozindua treni ya kisasa August 2024 inayokimbia km 1000 kwa saa 1 tu.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Mfanikio [emoji777] Mafanikio [emoji736]
n9 [emoji777] ni [emoji736]
nishamu [emoji777] nidhamu [emoji736]
kupigqana [emoji777] kupigana [emoji736]
ratibu [emoji777] taratibu [emoji736]

Ulienda shuleni kusomea ujinga?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Bado hamjasema!! Huyu mama ana Impurities za kutosha Waislamu wote nchini
 
Mfanikio ❌ Mafanikio ✅
n9 ❌ ni ✅
nishamu ❌ nidhamu ✅
kupigqana ❌ kupigana ✅
ratibu ❌ taratibu ✅

Ulienda shuleni kusomea ujinga?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Tafsiri yako ya Kingereza haipo sawa. Towa hiyo "a".
 
Back
Top Bottom