Amka usingizini, Sio kila aliefanikiwa kateseka, Pigana ufanikiwe uanzishe kizazi chako kifanikiwe bila mikiki mikiki

Amka usingizini, Sio kila aliefanikiwa kateseka, Pigana ufanikiwe uanzishe kizazi chako kifanikiwe bila mikiki mikiki

Mfanikio ya kwanza n9 nidgamu.

Ili uwe na nishamu inabidi uwe n ibada.

Ili uwe na ibada inabidi uwe na dini.
Ili uwe na dini inabidi uwe Muislam.

Kutafuta kipato cha halali Kiislam ni ibada. Bila kupigqana, bila kupambana, kufata ratibu za ibada ili uwe na nidhamu ya yote uyafanyayo.

Ukifata hayo, mafanikio ni kama kusukuma mlevi tu.
Shida ya post yako ambayo unaita ina majibu. Sio kwamba imejaa typos ambazo zinafanya ueleweki umeandika nini.

Hata hapo unaposomeka ni hadhithi za leaving matters to heavenly devine as your proposed solution (like that’s how the world operates).

Kila kitu rahisi kwako, let me guess kodi iwe 10% kwa kila mtu; wale walioweka kiwango cha mapato chini ya 270,000 kwa mwezi as living allowance wasitozwe income tax ili watu wenye kipato kidogo wapate nafuu hawana akili. Na kupanga biashara zisizo na mauzo chini ya tsh 200 million sio lazima kusajili VAT hawajui lolote.

Acha kuongelea mambo usiyo na uwezo nayo, akili hizo huna.
 
Tafsiri yako ya Kingereza haipo sawa. Towa hiyo "a".
Ahsante kwa kunisahihisha, nimelazimika kutofata ushauri wako ili nisiwe mtumwa wa kubobea lugha ya Mabeberu ilihali mi ni Mbantu halisi.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Kuna misemo kwamba ukiona bosi kakalia kiti cha kuzunguka (lugha ya mafumbo kutoboa) ujue kafanikiwa, fanya kazi kama mtumwa uishi kama mfalme, n.k.

Hio misemo ni kwajili yetu tuliotokea familia duni, ili kutoboa ni lazima upambane sana aidha usome sana ubahatike kuajiriwa sehem yenye maslahi, Upambane from scratch kuinua biashara, bahati nasibu inayotokea moja katika kila maelfu, n.k.

Kuna watu wamezaliwa kwenye familia zinazojiweza wazazi / walezi ni ni wafanyabiashara waliotoboa, wakurugenzi wa mashirika, maprofesa vyuoni, majaji, wanaidara wa usalama wenye vyeo vizito, mabalozi, mawaziri, n.k.

Maisha kabla ya kujitegemea

  • anaepushwa na shida za kayumba anapelekwa english medium, masomo anajifunza kwa kiingereza tangu chekechea wenzake wanaanzia form 1, vyoo visafi muda wote, darasani kila mtu ana dawati lake, darasa moja halilizidi wanafunzi 30, kila mwanafunzi ana kitabu chake, Kujifunza computer tangu wadogo, madaftar yakiisha wanapewa shuleni, n.k. wale mnaosema english medium zinalemaza ni self compassion kujifariji na umasikini, Mtoto anaweza kwenda english medium lakini kazi za nyumbani atafanya kama kawaida, hizi ndizo za muhimu zaidi kuzijua ili mtu uweze kujitegemea hapa bongo hata ukiwa na hali ngumu.
  • ana uhakika wa milo mitatu yenye mboga saba
  • akiumwa hospitali zake ni Aghakan
  • Hata bila mkopo ana uhakika wa kwenda chuoni

Maisha ya kujitegemea

Mtu amemaliza chuo tayari kazi inamsubiri, kama kuna interview ni ya kuzuga tu, kateseka kufika alipofika ?

Kama amaeshindwa shule au kamaliza chuo anataka kufanya biashara, tayari familia ina connections na mtandao, kufikia age 35 tayari account inasoma milioni 500+, kateseka kufika alipofika ?

USHAURI

Chukia sana umasikini, Sio jambo la kuzoesha wala kulichukulia poa, Epukana sana na misemo au imani zinazodumaza akili kuufanya umasikini uonekane ni jambo la kawaida
nani apigane?kwani duniani nitaishi miaka 1000?Kila mtu apambane kwa wakati wake.
 
Shida ya post yako hii ambayo unaita ina majibu. Sio kwamba imejaa typos ambazo zinafanya ueleweki umeandika.

Hata hapo unaposomeka ni hadhithi za trusting matters to heavenly devine.

Kila kitu rahisi kwako, let me guess kodi iwe 10% kwa kila mtu; wale walioweka kiwango cha mapato chini ya 270,000 kwa mwezi has living allowance wasitozwe income tax ili watu wenye kipato kidogo wapate nafuu hawana akili. Na kupanga biashara zisizo na mauzo chini ya tsh 200 million sio lazima kusajili VAT hawajui lolote.

Acha kuongelea mambo usiyo na uwezo nayo, akili hizo huna.
Siyo "majibu", solutions.

Mafanikio ya kwanza ni nidhamu.

Ili uwe na nidhamu inabidi uwe na ibada.

Ili uwe na ibada inabidi uwe na dini.
Ili uwe na dini inabidi uwe Muislam.

Kutafuta kipato cha halali Kiislam ni ibada. Bila kupigqana, bila kupambana, fata taratibu za ibada ili uwe na nidhamu ya yote uyafanyayo.

Ukifata hayo, mafanikio ni kama kusukuma mlevi tu.
 
Ahsante kwa kunisahihisha, nimelazimika kutofata ushauri wako ili nisiwe mtumwa wa kubobea lugha ya Mabeberu ilihali mi ni Mbantu halisi.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Tafsiri yako ya Kingereza haipo sawa. Towa hiyo "a".
 
Siyo "majibu", solutions.

Mafanikio ya kwanza ni nidhamu.

Ili uwe na nidhamu inabidi uwe na ibada.

Ili uwe na ibada inabidi uwe na dini.
Ili uwe na dini inabidi uwe Muislam.

Kutafuta kipato cha halali Kiislam ni ibada. Bila kupigqana, bila kupambana, fata taratibu za ibada ili uwe na nidhamu ya yote uyafanyayo.

Ukifata hayo, mafanikio ni kama kusukuma mlevi tu.
Miaka mitatu au minne ya elimu ya uchumi wanafunzi hawasomi theories za ujinga. Hakuna hadithi za mungu, kwenye kuwatengenezea watu na biashara mazingira bora ya kuinuana.

Miaka minne ya elimu ya accounting au shahada za finance hakuna elimu ya mungu ni maswala ya kutumia fedha kukuza biashara na kuinua watu.

Miaka mitatu au minne ya shahada ya siasa ni kuelewa science ya jamii na kuja na mbinu za kuisaidia hakuna mungu.

Hakuna kitabu cha mungu kitakupa elimu hiyo iwe Torah, Bible or Quran.

Akili zako zinakutosha mwenyewe
 
Miaka mitatu au minne ya elimu ya uchumi wanafunzi hawasomi theories za ujinga. Hakuna hadithi za mungu, kwenye kuwatengenezea watu na biashara mazingira bora ya kuinuana.

Miaka minne ya elimu ya accounting au shahada za finance hakuna elimu ya mungu ni maswala ya kutumia fedha kukuza biashara na kuinua watu.

Miaka mitatu au minne ya shahada ya siasa ni kuelewa science ya jamii na kuja na mbinu za kuisaidia hakuna mungu.

Hakuna kitabu cha mungu kitakupa elimu hiyo iwe Torah, Bible or Quran.

Akili zako zinakutosha mwenyewe
Endelea na elimu yako, wangu ni ushauri tu siyo lazima.
 
Back
Top Bottom