Amkata mkewe mkono kwa wivu wa mapenzi

Masikini Debora,angeolewa na mimi asingepata haya.

Ila simjui
 
Being single is really cool
 
Debora hana mkono tena na alikuwa mfanyakazi wa bank. Je atasimamishwa kazi ilhal mume hana kazi yupo tu home na tiyari ana kesi..
 
Adhabu tu sheria kali zichukuliwe, kitendo alichofanya huyo jamaa siyo cha utu kabisa, alikuwa na uwezo wa kuachana nae kuliko kumkata mkono, labda kama sheria ingeruhusu saa hivi na yeye alitakiwa awe amekatwa mkono.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…