imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Nina imani wakirudiana atashinda.Canelo ni bondia mzuri, ila kwenye hili pambano ilikua kama mikono imepooza.
Cha maana alichofanya ni uppercuts chache ambazo hazikuleta madhara kwa Bivol.
Kwa sasa Canelo atashuka kwenye viwango vya Pound for Pound ambapo alikuwa kinara kwa muda mrefu.