Kapigwa kutokana na kiherehere chake cha kutaka kutawala kila weight sasa amejichanganya kwa light heavy weight kila akipiga ngumi zinaishia kwenye mikono tu
Hiyo mrusi ana jab moja matata sana ameirusha kuanzia fight inaanza mpk inaisha hajali kama umeweka guard wala nn
By the way canelo is one of the best fighters of this generation