Amkeni, amkeni Profesa ameanza kulaumiwa huku

Amkeni, amkeni Profesa ameanza kulaumiwa huku

mugah di matheo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
6,307
Reaction score
12,410
Kocha wenu anadiploma mleteni afundishwe na Profesa wetu,aje na vyeti vya waajiri wake.

Kocha anajua,kikosi kipo vizuri.

Baada ya mechi Sasa
Nabi hajui kupanga kikosi unamuwekaje Bangala benchi?
Mauya sio wakucheza Yanga
Nchimbi sio wakuchukua nafasi ya Youcuba

Nabi hana uchungu na Yanga
Ongeza kauli nyingine ya utopolo wakilalamika juu yakipigo Cha river United
 
Siku yanga wakiacha propaganda ya kuifananisha timu Yao na club ya Simba wakaanza kujenga timu watafanikiwa

Narudia tena yanga ni timu ndogo sn ktk mashindabo ya kimataifa ..wakae chini watengeneze mfumo
Tabia ya kujiweka level sawa na Simba itazidi kuwatafuna miaka nenda Rudi

Ktk level za CAF Simba ni no 12 wakati yanga ni 77 na wakimaliza mechi Yao ya marudiano nadhani watazidi kutupwa wa 100+
 
Kocha wenu anadiploma mleteni afundishwe na Profesa wetu,aje na vyeti vya waajiri wake.

Kocha anajua,kikosi kipo vizuri.

Baada ya mechi Sasa
Nabi hajui kupanga kikosi unamuwekaje Bangala benchi?
Mauya sio wakucheza Yanga
Nchimbi sio wakuchukua nafasi ya Youcuba

Nabi hana uchungu na Yanga
Ongeza kauli nyingine ya utopolo wakilalamika juu yakipigo Cha river United
 
Uto bhana yani mpira umeisha baada waje na vitu technical kwenye football washaanza ndoto zao tena mara tunaenda kupindua meza sasa sjui wanafkr wanaenda Singinda.

Sema CAF hii round ikiisha watoe ranking za vilabu tena maana kuna timu itakuwa imepitwa hadi na Biashara United hapa.
 
Yanga sioni hata wanacheza mfumo gani.
Mi naona wanacheza
Putaputa tu, sioni wakicheza kimipango.
Au macho yangu jamani.

Mechi na Rivers United nyumbani dakika 90 shuti moja tu golini ...!!!!

Ni maajabu ya Karne.
Vipi wangeshuka Al-Ahally wenye kombe lao ?
 
Yanga sioni hata wanacheza mfumo gani.
Mi naona wanacheza
Putaputa tu, sioni wakicheza kimipango.
Au macho yangu jamani.

Mechi na Rivers United nyumbani dakika 90 shuti moja tu golini ...!!!!

Ni maajabu ya Karne.
Vipi wangeshuka Al-Ahally wenye lombe lao ?
Makubwa Jinga FC
 
Kocha wenu anadiploma mleteni afundishwe na Profesa wetu,aje na vyeti vya waajiri wake.

Kocha anajua,kikosi kipo vizuri.

Baada ya mechi Sasa
Nabi hajui kupanga kikosi unamuwekaje Bangala benchi?
Mauya sio wakucheza Yanga
Nchimbi sio wakuchukua nafasi ya Youcuba

Nabi hana uchungu na Yanga
Ongeza kauli nyingine ya utopolo wakilalamika juu yakipigo Cha river United
"The return of CAF champions"🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ************The return of shame
 
Back
Top Bottom