mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Kocha wenu anadiploma mleteni afundishwe na Profesa wetu,aje na vyeti vya waajiri wake.
Kocha anajua,kikosi kipo vizuri.
Baada ya mechi Sasa
Nabi hajui kupanga kikosi unamuwekaje Bangala benchi?
Mauya sio wakucheza Yanga
Nchimbi sio wakuchukua nafasi ya Youcuba
Nabi hana uchungu na Yanga
Ongeza kauli nyingine ya utopolo wakilalamika juu yakipigo Cha river United
Kocha anajua,kikosi kipo vizuri.
Baada ya mechi Sasa
Nabi hajui kupanga kikosi unamuwekaje Bangala benchi?
Mauya sio wakucheza Yanga
Nchimbi sio wakuchukua nafasi ya Youcuba
Nabi hana uchungu na Yanga
Ongeza kauli nyingine ya utopolo wakilalamika juu yakipigo Cha river United