Amkeni, amkeni Profesa ameanza kulaumiwa huku

Amkeni, amkeni Profesa ameanza kulaumiwa huku

Naona hata clouds wameshindwa kuizungumzia mechi ya yanga.

Kweli GSM wanajua fitina..jamaa washapigwa hela waipotezee.
 
Naona hata clouds wameshindwa kuizungumzia mechi ya yanga.

Kweli GSM wanajua fitina..jamaa washapigwa hela waipotezee.
Sio
Yanga inaogopwa na kalibu kila mtu kuisema vibaya.
Ndio maana hata vyombo vya habari vinaandika na kuizungumzia kwa mazuri tu.

Inaambiwa ni timu ya Wananchi.
 
Wahuni wa naija wamefanya nchi iko kimya no tantalila upande wa matopeni.

Kapumbu alifungulia[emoji23]
 
Wahuni wa naija wamefanya nchi iko kimya no tantalila upande wa matopeni.

Kapumbu alifungulia[emoji23]
Na semaji linakula raha kama halina akili timamu vile
FB_IMG_1631647099990.jpg
 
Eti

"wanafungwa na mshahara napata"

Msimchongee mwenzenu jamani anaipenda hiyo kazi kuliko chochote kile.
 
Back
Top Bottom