Amkeni, amkeni Profesa ameanza kulaumiwa huku

Naona hata clouds wameshindwa kuizungumzia mechi ya yanga.

Kweli GSM wanajua fitina..jamaa washapigwa hela waipotezee.
 
Naona hata clouds wameshindwa kuizungumzia mechi ya yanga.

Kweli GSM wanajua fitina..jamaa washapigwa hela waipotezee.
Sio
Yanga inaogopwa na kalibu kila mtu kuisema vibaya.
Ndio maana hata vyombo vya habari vinaandika na kuizungumzia kwa mazuri tu.

Inaambiwa ni timu ya Wananchi.
 
Wahuni wa naija wamefanya nchi iko kimya no tantalila upande wa matopeni.

Kapumbu alifungulia[emoji23]
 
Eti

"wanafungwa na mshahara napata"

Msimchongee mwenzenu jamani anaipenda hiyo kazi kuliko chochote kile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…