Imepanda hivoKuna jamaa yangu ananishawishi namu ninunue anadai zinakaa sana na charge na best Camera.
48 mega pixers
4GB Ram
Memory 64 GB
Battery yake 5000 Mah
Bei tsh 380,000 wadau wa simu tushauriane. Mimi nimekuwa nikitumia sana Huawei na Samsung. But jamaa kwa kigezo cha Battery kukaa nadhani kuna neno hapo.
Hot 10 plus.Battery 6000MaHKuna jamaa yangu ananishawishi namu ninunue anadai zinakaa sana na charge na best Camera.
48 mega pixers
4GB Ram
Memory 64 GB
Battery yake 5000 Mah
Bei tsh 380,000 wadau wa simu tushauriane. Mimi nimekuwa nikitumia sana Huawei na Samsung. But jamaa kwa kigezo cha Battery kukaa nadhani kuna neno hapo.
TUHAMIE XIAOMI MKUU.Nmeanza tumia Samsung mwaka 2003 mpaka leo hawajawahi hata kunipa Certicafe of Loyality au Recognition. Nasonga mbele.
We unatafuta computer, sio simu!!!Dah hii ndio latest? Natafuta at least yenye 12GB Ram, 512 Internal storage, Camera 32mp kwa 64mp, Battery 6800Ma
S4 wameibania kwa kuchanganya kamera. Kamera kubwa wameiweka kwenye selfie (32 mp) halafu ndogo ndio ikawekwa nyuma.Natumia S4 ina camera nzuri sana kwa kweli
Achana na hiyo hebu tafuta infinix note 8i kisha rudi tena hapa.Kuna jamaa yangu ananishawishi namu ninunue anadai zinakaa sana na charge na best Camera.
48 mega pixers
4GB Ram
Memory 64 GB
Battery yake 5000 Mah
Bei tsh 380,000 wadau wa simu tushauriane. Mimi nimekuwa nikitumia sana Huawei na Samsung. But jamaa kwa kigezo cha Battery kukaa nadhani kuna neno hapo.
bei gani hii dukaniAchana na hiyo hebu tafuta infinix note 8i kisha rudi tena hapa.
Bei kubwa unayoiongelea ni kuanzia bei gani?Infinix za bei kubwa ni nzuri zinakaa na chaji sana...Hot 9 play ina 6000MAh ni balaa chaji.
Laki 3 na kuendelea huko.Bei kubwa unayoiongelea ni kuanzia bei gani?
Tecno & Sons kwenye chaji ni kiboko toka ameingia kwenye soko la smartphone kiuhakika! Hizi kampuni kubwa zinajaribu kupambana upande wa charge ila wapi!ila kwenye chaji hawa ki kiboko ...kwa siku utachaji mara moja tu kama simu yako ipo busy online muda wote ila kama sio mtu wa online sana simu inaweza ikae mwezi mzma na chaji hiyo hiyo
Eti tecno and sons 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Tecno & Sons kwenye chaji ni kiboko toka ameingia kwenye soko la smartphone kiuhakika! Hizi kampuni kubwa zinajaribu kupambana upande wa charge ila wapi!
Sony tu ndio aliwezaga optimization mapema ndio akawafungua akili akina Apple na Samsung ila still bado taji liko kwa mchina!
Huawei, Oppo, Xiaomi, Vivo, Tecno, Infinix wana akili nyingi kuwazidi hao giants kwenye uundaji na optimization ya battery!
mchawi ni kioo na prossesor.Tecno & Sons kwenye chaji ni kiboko toka ameingia kwenye soko la smartphone kiuhakika! Hizi kampuni kubwa zinajaribu kupambana upande wa charge ila wapi!
Sony tu ndio aliwezaga optimization mapema ndio akawafungua akili akina Apple na Samsung ila still bado taji liko kwa mchina!
Huawei, Oppo, Xiaomi, Vivo, Tecno, Infinix wana akili nyingi kuwazidi hao giants kwenye uundaji na optimization ya battery!
Usitishike na wingi wa megapixelsHapo wamepatia achilia mbali betri la 5000mAh, 48MP sio masihara? Infinix ya MP13 ni tishio je hiyo ya 48? Changamka usiulize tena