TEMBO WANGU
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 930
- 1,290
wakuu amkeniiii, mtandaooi wameachiaaaa......wastue Wana, na Wana wawastue Wana....mwendo wa kuchatiiii na kupigaa pesaa au kwa wale wa jagd plaza wanasema kudownload pesa.....hahahaa. unashangaa nini uzi tayaliii.
Hivi wenzetu mnatumia mtandao gani mbona kwangu bado social media zinazinguaSasa hv mambo tambalaleeeeee..
Bado,wamebanaaa weeee hatimaye wameachia,walipatwa hofu bure,kusingetokea walichokifikiria
Huko si ndio kigogo anakopatikana?hawataachia siku za karibuni.