Amos Makala Hongera kwa Coco Beach, Ila huoni Kama tunaweza fanya zaidi ya pale?

Amos Makala Hongera kwa Coco Beach, Ila huoni Kama tunaweza fanya zaidi ya pale?

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Hongera sana Amos Makala na Uongozi wa Jiji la Dar es Salaam na Awamu ya Sita kwa ujumla kwa ubunifu wa Coco Beach.

Yaliyolewa Malalamiko mengi sana kuhusu namna ile sehemu ilivyokuwa hovyo na mabanda ya hovyo jambo lililopelekea kupoteza mvuto! Kwa maboresho yaliyofanyika kwa kujenga mabanda ya kisasa kusema kweli mnastahili pongezi na hongera zetu sisi wananchi tuliokuwa tukilalamika hapo awali!

Ila Kuna jambo moja nataka kuwaambia leo.

Je, Hamuwezi kupaweka Coco beach kuwa kama Forodhani Zanzibar? Yaaani kwa kujenga paving blocks sehemu za kuegeshea magari na watu kukaa?

Kwa sasa mvua ikinyesha eneo la coco beach linakuwa chafu kutokana na Udo go mwekundu unaoleta matope na karaha kwa watu wanaoenda kura raha maeneo yale.

Sasa hamuoni kuwa ni vizuri kuendelea kuliboresha na kuliongezea thamani lile eneo kwa kujenga paving blocks eneo la juu linalopakana na barabara kwa ajiri ya kutengeneza sehemu nzuri kwa watu kukaa na kupaki magari yao Kama ilivyo kwa Forodhani Zanzibar?

Lord denning nikiwa Coco Beach!
 
... waende tu hapo Maputo wakajifunze beaches za wanyonge kama Coco huwa zinajengwaje na huduma za aina gani zinapatikana.
Maputo beach ipi? Kule fish market au karibu na Afrin Hotel?

Au wewe mitaa yako ni karibu ya Polana Hotel mjini centre?

Maputo usiilinganishe na Coco beach au Dar kwa ujumla, Dar ipo juu sana kwa kila kitu!!! Huo mfano wako ni invalid labda miji mingine.

Njoo nipo kijiwe cha mitaa ya mjini karibu na ubalozi wa Uk.

Baadae naenda ferry mitaa chini ya Afrin Hotel kula pweza.
 
Maputo beach ipi? Kule fish market au karibu na Afrin Hotel?

Au wewe mitaa yako ni karibu ya Polana Hotel mjini centre?

Maputo usiilinganishe na Coco beach au Dar kwa ujumla, Dar ipo juu sana kwa kila kitu!!! Huo mfano wako ni invalid labda miji mingine.

Njoo nipo kijiwe cha mitaa ya mjini karibu na ubalozi wa Uk.

Baadae naenda ferry mitaa chini ya Afrin Hotel kula pweza.

Sent using Jamii Forums mobile app

Tusidanganyane mkuu. Mreno ameicha Maputo ikiwa vema sana.
 
Maputo beach ipi? Kule fish market au karibu na Afrin Hotel?

Au wewe mitaa yako ni karibu ya Polana Hotel mjini centre?

Maputo usiilinganishe na Coco beach au Dar kwa ujumla, Dar ipo juu sana kwa kila kitu!!! Huo mfano wako ni invalid labda miji mingine.

Njoo nipo kijiwe cha mitaa ya mjini karibu na ubalozi wa Uk.

Baadae naenda ferry mitaa chini ya Afrin Hotel kula pweza.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nilikuwa chawa wa MAREHEMU Raisi Samora Machel kiasi kila alichokuwa anasema nilimwamini Kuna siku alikuwa anahutubia mkutano mkuu wa CCM akawashangaa kuwa makao makuu ya nchi yaani Jiji la DSM kuwa ya majengo ya kizamani kama vibanda vya KUKU , akawaambia Nyie CCM mkija Pale Rolenco Marguis (Maputo) wana Dar Esalaam wote utawaona mapumbavu tu,lakini sio wao ni chama chenu kimeshindwa kubadili maisha yao
 
Mimi nilikuwa chawa wa MAREHEMU Raisi Samora Machel kiasi kila alichokuwa anasema nilimwamini Kuna siku alikuwa anahutubia mkutano mkuu wa CCM akawashangaa kuwa makao makuu ya nchi yaani Jiji la DSM kuwa ya majengo ya kizamani kama vibanda vya KUKU , akawaambia Nyie CCM mkija Pale Rolenco Marguis (Maputo) wana Dar Esalaam wote utawaona mapumbavu tu,lakini sio wao ni chama chenu kimeshindwa kubadili maisha yao
Sikuelewi, ni Maputo ipi unayoizungumzia? Inaizidi Dar kwa lipi? Au Msumbiji inaizidi Tanzania kwa lipi? Elewa kuwa nchi hiyo imekuwa kwenye mapigano kwa muda mrefu sana. Hata ukipita mitaani dalili zipo wazi.

Uwanja wao wa ndege ambao ndio mkubwa Msumbiji unazidiwa na wa Mwanza.

Acha utani kwenye vitu vya msingi kaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadanganye wajinga wajinga ambao hawakufika au kuishi Msumbiji. Mimi nipo hapa Maputo ambao hautii pua Dar es Salaam.

Msumbiji yenyewe kwa Tanzania bado sana!! Acha uongo, Tanzania is [emoji106][emoji106][emoji106] than Mozambique!!

Sent using Jamii Forums mobile app
We mbishi tu unadhani kuishi buza ya Maputo ndio kuijua vizuri. Acha uongo mji ule umepangika na una structure za maana sana kuliko za Dar.
 
Mimi wa mkoani uku Dodoma kwenye jimbo la Jobu a.k.a mzee wa mnada naomba picha ya Coco beach sipajui!.
 
Wangetembelea Beach za wenzetu wangejifunza vingi+ubunifu

Ova
 
msumbiji pazuri sana kuliko DSM. Mreno kaujenga ule mji na 1980 ulikuwa mji mzuri wa pili barani africa baada ya Cairo. Baada ya Azania kuwa huru ndipo miji yao ya mfuko wa yohana na cape town iliifunika maputo. ila sema ukweli Samora alishindwa kuutunza ule mji majumba mengi ya kifahari na mahoteli yaliishia kuwaweka mama nitilie.wewe angalia majumba mazuri ya magomeni quartes yalivyo sasas tena yapige picha halafu kayaangalie baada ya mwaka mmoja utakuta maji ya choo hayavutwi na nyonya mavi, hamna garden wala miti ya kuvutia, vioo vya madilisha vimevunjwa na kila sehemu utakuta walanda mbao, mafundi viatu na mihogo ipo nje ya mlango inauzwa! hayo ndo yapo maputo na yaliyoangusha uzuri wa maputo.
 
Back
Top Bottom