Pre GE2025 Amos Makalla: Achaneni na Propaganda za "No reform", Uchaguzi upo, msidanganyike

Pre GE2025 Amos Makalla: Achaneni na Propaganda za "No reform", Uchaguzi upo, msidanganyike

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607

Katibu wa NEC, Itikadi Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, CPA. Amos Makalla akizungumza na Wanachama maeneo ya Mbezi Beach Jijini Dar es Salaam, alipokuwa kwenye mkutano na Mabalozi, Viongozi wa Kata, Madiwani na Wabunge wa Wilaya ya Kinondoni.

Makalla amewataka Watanzania kupuuza madai ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwamba uchaguzi hautafanyika bila mabadiliko ya mfumo wa Uchaguzi na kuongeza kuwa kama wapinzani hao watabaki na msimamo wao katika Uchaguzi wa 2025 inamaanisha baada ya hapo chama hakitakuwepo.

Video: Global TV
 

Katibu wa NEC, Itikadi Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, CPA. Amos Makalla akizungumza na Wanachama maeneo ya Mbezi Beach Jijini Dar es Salaam, alipokuwa kwenye mkutano na Mabalozi, Viongozi wa Kata, Madiwani na Wabunge wa Wilaya ya Kinondoni.

Makalla amewataka Watanzania kupuuza madai ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwamba uchaguzi hautafanyika bila mabadiliko ya mfumo wa Uchaguzi na kuongeza kuwa kama wapinzani hao watabaki na msimamo wao katika Uchaguzi wa 2025 inamaanisha baada ya hapo chama hakitakuwepo.

Video: Global TV
Nyieee chukulieni kama tunatania. CHADEMA tunamaanisha kwa hili tofauti na hapo jeshi litasimamia nchi.


CCM mjiamini basi si mnawafuasi wengi
 

Katibu wa NEC, Itikadi Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, CPA. Amos Makalla akizungumza na Wanachama maeneo ya Mbezi Beach Jijini Dar es Salaam, alipokuwa kwenye mkutano na Mabalozi, Viongozi wa Kata, Madiwani na Wabunge wa Wilaya ya Kinondoni.

Makalla amewataka Watanzania kupuuza madai ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwamba uchaguzi hautafanyika bila mabadiliko ya mfumo wa Uchaguzi na kuongeza kuwa kama wapinzani hao watabaki na msimamo wao katika Uchaguzi wa 2025 inamaanisha baada ya hapo chama hakitakuwepo.

Video: Global TV


Makalla kwa lugha yakwao, ni makapi. Tuwapuuze watu ambao wana nusu akili, kama huyu Makala.
 
Back
Top Bottom