LGE2024 Amos Makalla: CCM ina makada sita waliopigwa Mapanga na Kuuawa

LGE2024 Amos Makalla: CCM ina makada sita waliopigwa Mapanga na Kuuawa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Leo Novemba 29, 2024 kwenye mkutano wake na Waandishi wa Habari, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM, Amos Makalla amesema kuwa kwa taarifa alizonazo, CCM ina makada sita waliofanyiwa vitendo vya kupigwa na kuuawa.
 
Leo Novemba 29, 2024 kwenye mkutano wake na Waandishi wa Habari, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM, Amos Makalla amesema kuwa kwa taarifa alizonazo, CCM ina makada sita waliofanyiwa vitendo vya kupigwa na kuuawa.
Hili guluguja liongo sana, lakini hizi damu mnazomwaga huku mnafanya kejeli kuwa mumeua sisimizi ndiyo zitawatoeni madarakani, Mungu hadhihakiwi.
 
Katika nchi ambayo kila KUKICHA Wapiga kura wanapungua wajinga wanashangilia ushindi
Bwana makala aseme uchaguzi ulitarajiwa kuwa na wapiga kura wangapi?
Waliojiandikisha ni wangapi?
Waliopiga kura ni wangapi?
Ukilinganisha uchaguzi huu na uliopita idadi imeongezeka au imepungua
Kwanini?
UMEIBA MITIHANI UNAPATA DIV 1 KISHA UNASHANGILIA? UNAJIDANGANYA KUNA KUNDI KUBWA LA WATU HAWAJAPIGA KURA KWA SABABU YA UJINGA WA CCM
 
Unapata picha watu wanaokata viungo vya albino, wanaoteka watu na kupeleka kafara kwa waganga wanao-ongoza ni wanasiasa na baadhi ya matajiri waliofanikiwa.

Kwa maneno ya JKN ‘ukishazoea kula nyama ya mtu kamwe hutoacha’.

Hakuna logic ya kuuana kwenye siasa zaidi ya kuchafuana tu na wahusika wameshazoea kutoa kafara za watu.

Hakuna ujinga usio na madhara, ndio maana watu walikuwa wakimuonya Samia acha kuchochea propaganda za Magufuli alikuwa muuaji.

So sad yaani watu wapoteze maisha kwa sababu ya uchaguzi tu, tena hata sio kwa siasa za chuki kweli ni kwa malengo ya kuchafuana tu; so sad.
 
Unapata picha watu wanaokata viungo vya albino, wanaoteka watu na kupeleka kafara kwa waganga ni wanao-ongoza ni wanasiasa na baadhi ya matajiri waliofanikiwa.

Kwa maneno ya JKN ‘ukishazoea kula nyama ya mtu kamwe hutoacha’.

Hakuna logic ya kuuana kwenye siasa zaidi ya kuchafuana tu na wahusika wameshazoea kutoa kafara za watu.

Hakuna ujinga usio na madhara, ndio maana watu walikuwa wakimuonya Samia acha kuchochea propaganda za Magufuli alikuwa muuaji.

So sad yaani watu wapoteze maisha kwa sababu ya uchaguzi tu, tena hata sio kwa siasa chuki kweli ni kwa malengo ya kuchafuana tu; so sad.
Akina Makalla ndiyo wahusika wakuu
 
Leo Novemba 29, 2024 kwenye mkutano wake na Waandishi wa Habari, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM, Amos Makalla amesema kuwa kwa taarifa alizonazo, CCM ina makada sita waliofanyiwa vitendo vya kupigwa na kuuawa.

Kwa hiyo anataka kutumia hizo attacks kujustfy mauaji ya upande wa pili. This is PATHETIC. Hivi hawa watu wenye ROHO ngumu kama hizi CCM huwa inawatowa wapi...!!?
 
Akina Makalla ndiyo wahusika wakuu
Mimi sijui ni hakina nani kwa majina, lakini wahusika wa huu utamaduni mpya washazoea kuchukua maisha ya watu kirahisi kwenye kafara zao wakiamini zinawasaidia kimafanikio.

Ni mazoea hayo ya kuchukua maisha ya watu kirahisi ndio wanapeleka kwenye kuchafuana kisiasa.

Ni genge la watu wachache serious people wakitaka kuwakamata inawezekana sema watakuwa watu wazito kwenye nchi.

Kuna namna nyingi za wanasiasa kuchafuana ila sio kwa kuchukulia uhai wa watu wengine poa.
 
Katika nchi ambayo kila KUKICHA Wapiga kura wanapungua wajinga wanashangilia ushindi
Bwana makala aseme uchaguzi ulitarajiwa kuwa na wapiga kura wangapi?
Waliojiandikisha ni wangapi?
Waliopiga kura ni wangapi?
Ukilinganisha uchaguzi huu na uliopita idadi imeongezeka au imepungua
Kwanini?
UMEIBA MITIHANI UNAPATA DIV 1 KISHA UNASHANGILIA? UNAJIDANGANYA KUNA KUNDI KUBWA LA WATU HAWAJAPIGA KURA KWA SABABU YA UJINGA WA CCM
Kwao kura hazina maana. Hawahitaji kura kutimiza ushetani wao.
 
Kwao kura hazina maana. Hawahitaji kura kutimiza ushetani wao.
Wapumbavu sana hawa. Yaani kwa ufupi ni kwamba ambao hawapigi kura ambao ndo wengi kuliko wanaopiga kura hawaiungi mkono ccm na serikali yake.
Haihitaji kuwa hata na degree ya siasa
 
Kama wameuawa CCM 6 na Chadema 3 kuna haja gani ya Utawala wa Vyama vya Siasa?

Maana ni kama Vita

Zitto naye atataja wa kwake waliodedi
 
Kwa hiyo anafurahia mauaji? shetani kabisa huyu mzee
Cha kusikitisha ni Kwamba Hawa wanasiasa naona wanaanza kuwabagua Watanzania/watu kwa itikadi za kisiasa... waliokufa /kuuawa ni Watanzania, itikadi sio hoja kwa sasa...Inasikitisha sana hizi Groupings wanazozifanya viongozi wa kisiasa...Polisi na Mahakama waangalie kwa jicho la kina kwa haya yanayoendelea..itafika wakati watu waanze kusema waliouawa ni kabila lao...na hapo itakua shida sana kwa utengamano wa Taifa...No one should die because of their affiliations.. SIMPLE.
 
Back
Top Bottom