Cha kusikitisha ni Kwamba Hawa wanasiasa naona wanaanza kuwabagua Watanzania/watu kwa itikadi za kisiasa... waliokufa /kuuawa ni Watanzania, itikadi sio hoja kwa sasa...Inasikitisha sana hizi Groupings wanazozifanya viongozi wa kisiasa...Polisi na Mahakama waangalie kwa jicho la kina kwa haya yanayoendelea..itafika wakati watu waanze kusema waliouawa ni kabila lao...na hapo itakua shida sana kwa utengamano wa Taifa...No one should die because of their affiliations.. SIMPLE.
Katika nchi ambayo kila KUKICHA Wapiga kura wanapungua wajinga wanashangilia ushindi
Bwana makala aseme uchaguzi ulitarajiwa kuwa na wapiga kura wangapi?
Waliojiandikisha ni wangapi?
Waliopiga kura ni wangapi?
Ukilinganisha uchaguzi huu na uliopita idadi imeongezeka au imepungua
Kwanini?
UMEIBA MITIHANI UNAPATA DIV 1 KISHA UNASHANGILIA? UNAJIDANGANYA KUNA KUNDI KUBWA LA WATU HAWAJAPIGA KURA KWA SABABU YA UJINGA WA CCM
Leo Novemba 29, 2024 kwenye mkutano wake na Waandishi wa Habari, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM, Amos Makalla amesema kuwa kwa taarifa alizonazo, CCM ina makada sita waliofanyiwa vitendo vya kupigwa na kuuawa.