Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ili na yeye aonekaneHujawahi kuwa na Mamlaka hayo, Huna na wala hutokuja kuwa nayo.
Wewe endelea na porojo zinazohusu chama chako tu.
Tumeona tukukumbushe hili mapema kabla hujaendelea kupotosha zaidi.
No Reform No Election
So What?Lakini mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ndiye anamteua Mwenyekiti wa Tume "Huru" ya Uchaguzi 🐼
Bila aibu wanaita huru😅Lakini mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ndiye anamteua Mwenyekiti wa Tume "Huru" ya Uchaguzi 🐼
Kwa hiyo ni mambo yanayohusiana na Chama chakeSo What?
Kwa katiba hii kila mwanaccm anajiona ana mamlaka juu ya uchaguzi wa nchi hii.Hujawahi kuwa na Mamlaka hayo, Huna na wala hutokuja kuwa nayo.
Wewe endelea na porojo zinazohusu chama chako tu.
Tumeona tukukumbushe hili mapema kabla hujaendelea kupotosha zaidi.
No Reform No Election
Aiseeeee!!Kwa katiba hii kila mwanaccm anajiona ana mamlaka juu ya uchaguzi wa nchi hii.
Labda mpaka pale atakapochaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Tume.Hujawahi kuwa na Mamlaka hayo, Huna na wala hutokuja kuwa nayo.
Wewe endelea na porojo zinazohusu chama chako tu.
Tumeona tukukumbushe hili mapema kabla hujaendelea kupotosha zaidi.
No Reform No Election
Uko sahihiLakini mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ndiye anamteua Mwenyekiti wa Tume "Huru" ya Uchaguzi 🐼
Sawa kabisaKwa hiyo ni mambo yanayohusiana na Chama chake
Genge la Wahuni.Kwa katiba hii kila mwanaccm anajiona ana mamlaka juu ya uchaguzi wa nchi hii.
No reforms no electionsSawa kabisa
Sasa kinachokuliza ni kipi?No Reform no election ni harakati ya ovyo kabisa