Pre GE2025 Amos Makalla huna Mamlaka yoyote ya kuzungumzia Masuala ya Tume ya Uchaguzi

Pre GE2025 Amos Makalla huna Mamlaka yoyote ya kuzungumzia Masuala ya Tume ya Uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hujawahi kuwa na Mamlaka hayo, Huna na wala hutokuja kuwa nayo.

Wewe endelea na porojo zinazohusu chama chako tu.

Tumeona tukukumbushe hili mapema kabla hujaendelea kupotosha zaidi.

No Reform No Election

Pia soma
Tuliposema hana akili mlitushangaa
 
Viongozi wamekatazwa kulewa,

Sasa mtu amelewa anaitisha press!
 
Back
Top Bottom