Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla amesema kuwa chama hicho kipo tayari kwa mchakato wa kupata Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Makalla ameyasema hayo siku ya Jumatano Machi 05, 2025 wakati akizungumza na viongozi wa CCM wa mashina, kata, matawi na mabalozi wa Wilaya ya Ubungo mkoani Dar es Salaam ambapo amesisitiza kuwa mchakato wa kupata katiba mpya si jambo la siku moja au tatu.
"Katiba mpya si jambo la mara moja, katiba inahusisha wadau wengi, haki za binadamu, makundi mbalimbali nakadhalika lakini hawa CHADEMA wao wanaangalia uchaguzi tu", ameeleza Makalla.
Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla amesema kuwa chama hicho kipo tayari kwa mchakato wa kupata Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Makalla ameyasema hayo siku ya Jumatano Machi 05, 2025 wakati akizungumza na viongozi wa CCM wa mashina, kata, matawi na mabalozi wa Wilaya ya Ubungo mkoani Dar es Salaam ambapo amesisitiza kuwa mchakato wa kupata katiba mpya si jambo la siku moja au tatu.
"Katiba mpya si jambo la mara moja, katiba inahusisha wadau wengi, haki za binadamu, makundi mbalimbali nakadhalika lakini hawa CHADEMA wao wanaangalia uchaguzi tu", ameeleza Makalla.
Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla amesema kuwa chama hicho kipo tayari kwa mchakato wa kupata Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Makalla ameyasema hayo siku ya Jumatano Machi 05, 2025 wakati akizungumza na viongozi wa CCM wa mashina, kata, matawi na mabalozi wa Wilaya ya Ubungo mkoani Dar es Salaam ambapo amesisitiza kuwa mchakato wa kupata katiba mpya si jambo la siku moja au tatu.
Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla amesema kuwa chama hicho kipo tayari kwa mchakato wa kupata Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Makalla ameyasema hayo siku ya Jumatano Machi 05, 2025 wakati akizungumza na viongozi wa CCM wa mashina, kata, matawi na mabalozi wa Wilaya ya Ubungo mkoani Dar es Salaam ambapo amesisitiza kuwa mchakato wa kupata katiba mpya si jambo la siku moja au tatu.
"Katiba mpya si jambo la mara moja, katiba inahusisha wadau wengi, haki za binadamu, makundi mbalimbali nakadhalika lakini hawa CHADEMA wao wanaangalia uchaguzi tu", ameeleza Makalla.
Iko wp rasmu og ya warioba achana na ile ya marehemu sitta leteni hiyo ipgiwe kura na watz wote maana hiyo ndiyo ina maoni yao na pia hiyo ndiyo ilitumia mabilion ya watz ccm mkaichakachua na bdo mliyoichakachua mkaiogopa mpk leo haijulikan iko wp. Mnasema chadema wanangalia uchaguzi je nyie ccm mnangalia nn maana kama n maslahi ya watz na taifa hili mmeshndwa zaidi ya miaka 60 ya uhuru hakuna jipya hata madarasa tu na maji mmeshndwa mnataka nn tena.