“Nimesikitishwa na nimeshangaa kauli iliyotolewa na ndugu yangu msomi mwanasheria, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA , akiwahutubia wananchi na ametumia maneno ya ubaguzi huwezi kiongozi makini tena wa ngazi ya juu kashindwa kuelewa tafsiri ya katiba”- Makalla.
Hayo yamesemwa Jumatatu April 29, 2024 jijini Dodoma na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Amos Makalla wakati akizungumza na waandishi wa habari.
“Nimesikitishwa na nimeshangaa kauli iliyotolewa na ndugu yangu msomi mwanasheria, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA , akiwahutubia wananchi na ametumia maneno ya ubaguzi huwezi kiongozi makini tena wa ngazi ya juu kashindwa kuelewa tafsiri ya katiba”- Makalla.
Hayo yamesemwa Jumatatu April 29, 2024 jijini Dodoma na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Amos Makalla wakati akizungumza na waandishi wa habari.
Shida ni kwamba watu wanalaumu tuuu fulani ana maneno ya kichochezi lakini hawayatolei majibu sahihi. Hivi kwa nini tunasema kero za muungano zimetatuliwa au bado zingine. Maana yake ni nini hasa.
“Nimesikitishwa na nimeshangaa kauli iliyotolewa na ndugu yangu msomi mwanasheria, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA , akiwahutubia wananchi na ametumia maneno ya ubaguzi huwezi kiongozi makini tena wa ngazi ya juu kashindwa kuelewa tafsiri ya katiba”- Makalla.
Hayo yamesemwa Jumatatu April 29, 2024 jijini Dodoma na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Amos Makalla wakati akizungumza na waandishi wa habari.
Huyu nae hata haeleweki! CCM kwa huyu basi tu kwa vile mnafanya mambo kimakundi ndani ya chama! Huyu hakukuwa na haja ya kumpa cheo hicho! Lisu na CHADEMA fanyeni siasa za kuwaelimisha wananchi CCM wepesi sana!
Maigizo yanaendelea baadae wanakutana wanalipana pesa za kutosha wanagonga chiazii huku wakiwacheka Wanyonge wakirumbana katika vijiwe Vyao Kwa skripti waliyotengeneza ya kuwahadaa na mambo ya kipuuzi
“Nimesikitishwa na nimeshangaa kauli iliyotolewa na ndugu yangu msomi mwanasheria, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA , akiwahutubia wananchi na ametumia maneno ya ubaguzi huwezi kiongozi makini tena wa ngazi ya juu kashindwa kuelewa tafsiri ya katiba”- Makalla.
Hayo yamesemwa Jumatatu April 29, 2024 jijini Dodoma na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Amos Makalla wakati akizungumza na waandishi wa habari.
“Nimesikitishwa na nimeshangaa kauli iliyotolewa na ndugu yangu msomi mwanasheria, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA , akiwahutubia wananchi na ametumia maneno ya ubaguzi huwezi kiongozi makini tena wa ngazi ya juu kashindwa kuelewa tafsiri ya katiba”- Makalla.
Hayo yamesemwa Jumatatu April 29, 2024 jijini Dodoma na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Amos Makalla wakati akizungumza na waandishi wa habari.
Huyu nae hata haeleweki! CCM kwa huyu basi tu kwa vile mnafanya mambo kimakundi ndani ya chama! Huyu hakukuwa na haja ya kumpa cheo hicho! Lisu na CHADEMA fanyeni siasa za kuwaelimisha wananchi CCM wepesi sana!
Abdulrahman Kinana Amvaa Tundu Lissu Suala la Rais Mzanzibari, "Nani Amekataa?".
View: https://m.youtube.com/watch?v=zFJ1jRSRBXsLeo Mei 5,2024, Makamu Mwenyekiti wa CCM anazungumza na waandishi wa habari na wanaCCM katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Dodoma. Anategemewa kuzungumzia masuala mbalimbali ikiwemo kujibu shutuma mbalimbali zilizoibuliwa na upinzani ambazo CCM wameziita ni za kibaguzi dhidi ya Muungano.