Amos Makalla kazi imekushinda?

Amos Makalla kazi imekushinda?

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Juzi Mhe Rais wa JMT alitoa takwimu za jiji la Dar es Salaam kushika nafasi ya 6 kwa usafi Afrika ila kiukweli hali sasa imeanza kuwa ndivyo sivyo.

Zile jitihada za mwanzo tulizokuwa tunaziona zilizokuwa zinafanya jiji kuwa safi sasa hivi tunaona zinafifia,

Vibanda vinarudi pembeni ya barabara si Buguruni, si Posta si Mbezi Mwisho na Kimara si Mnazi Mmoja si Mwenge si Ubungo

Hapa sijasema Mbagala ambapo unaonekana ulishindwa kabisa tangu mwanzo!

Je Mhe Rais wa JMT ateue mtu mwingine anayeweza hii kazi?
 
Mimi pia nilimsifia kwa kazi nzuri kabisa lakini amepoa jamaa wameanza kurudi. Mida ya jioni wanajazana kabisa kiasi kwamba asubuhi wafagiaji wanapata taabu sana.
 
Makalla ni chawa tuu na mpigaji Hana lolote
 
Usafi mnauweza nyie....hulka ya usafi yenyewe hamna...uchaf asili yetu

Mambo ya usafi watu huzaliwa nayo

Watu wa dar issue ya usafi wangejisimamia wenyewe,mfano uonekane siyo mpaka ushikiwe bakora

Ova
 
Juzi Mhe Rais wa JMT alitoa takwimu za jiji la Dar es Salaam kushika nafasi ya 6 kwa usafi Afrika ila kiukweli hali sasa imeanza kuwa ndivyo sivyo.

Zile jitihada za mwanzo tulizokuwa tunaziona zilizokuwa zinafanya jiji kuwa safi sasa hivi tunaona zinafifia,

Vibanda vinarudi pembeni ya barabara si Buguruni, si Posta si Mbezi Mwisho na Kimara si Mnazi Mmoja si Mwenge si Ubungo

Hapa sijasema Mbagala ambapo unaonekana ulishindwa kabisa tangu mwanzo!

Je Mhe Rais wa JMT ateue mtu mwingine anayeweza hii kazi?
MZEE PUMZI IMEMWISHIA MACHINGA WAMEMZIDI UJANJA
1657875727016.jpg
 
Juzi Mhe Rais wa JMT alitoa takwimu za jiji la Dar es Salaam kushika nafasi ya 6 kwa usafi Afrika ila kiukweli hali sasa imeanza kuwa ndivyo sivyo.

Zile jitihada za mwanzo tulizokuwa tunaziona zilizokuwa zinafanya jiji kuwa safi sasa hivi tunaona zinafifia,

Vibanda vinarudi pembeni ya barabara si Buguruni, si Posta si Mbezi Mwisho na Kimara si Mnazi Mmoja si Mwenge si Ubungo

Hapa sijasema Mbagala ambapo unaonekana ulishindwa kabisa tangu mwanzo!

Je Mhe Rais wa JMT ateue mtu mwingine anayeweza hii kazi?
Umeongea ukweli, lakini mwonee huruma mwenzio ana watoto.

Watakufa njaa!
 
Umeongea ukweli, lakini mwonee huruma mwenzio ana watoto.

Watakufa njaa!
Nguvu ya soda ilikuwa Makalla umeshindaje KAZI ya kuwaondoa wa machinga? Wamerudi kwa Kasi ya ajabu hivi wakuu wa wilaya hamuoni? Jamani watendaji Hebu acheni kulala amkeni mtekeleze wajibu wenu mnatia aibu
 
Back
Top Bottom