Pre GE2025 Amos Makalla: Lissu na wenzako (CHADEMA) nendeni mkafanye reforms zenu, CCM imeshafanya reforms za kutosha

Pre GE2025 Amos Makalla: Lissu na wenzako (CHADEMA) nendeni mkafanye reforms zenu, CCM imeshafanya reforms za kutosha

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), CРА Amos Makalla amesema kuelekea katika uchaguzi mkuu, CCM inaamini imeshafanya reforms za kutosha, hivyo amemshauri Tundu Lissu na wenzake pia wakafanye reforms zao.

Amesema wapinzani wanasema CCM ndiyo ifanyiwe reform, na wakasema "No Reform no Election" lakini ndani ya chama chao wameshindwa kufanya reforms zao wakati walisema watazifanya.

Soma: Tundu Lissu: Hatutasusia Uchaguzi, tutazuia uchaguzi kwa nguvu ya Umma, sio bila mabadiliko hatutashiriki uchaguzi

Makalla ameeleza hayo leo Machi 5, 2025 wakati akizungumza katika mkutano wa viongozi wa chama na jumuiya ngazi ya shina, tawi, kata na wilaya katika Wilaya ya Ilala mkoani Dar es Salaam, ikiwa ni siku ya tatu ya ziara yake ya siku tano katika mkoa huo.

"Unapataje mamlaka ya kuomba reforms na reform hizo zimeshafanyika ndani ya tume katika sheria za uchaguzi wewe mwenyewe hutaki kufanya hata reform kwenye chama chako?" Amehoji Makalla.

Video: TBC Digital
 
Acha kujirusha ufahamu Mr Charcoal, hata mtoto mdogo wa Kitanzania anajua kuwa CCM ni majizi ya kura.
Mwaka 2020 kura za urais, ubunge na udiwani zilipigwa siku mbili kabla pale kinondoni CCM. watoto waliokotwa miaani ili wakapige kura kwa ahadi ya kulipwa 5000/= na hawajalipwa mpaka leo. Hili naweza kulithibitisha
 
Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), CРА Amos Makalla amesema kuelekea katika uchaguzi mkuu, CCM inaamini imeshafanya reforms za kutosha, hivyo amemshauri Tundu Lissu na wenzake pia wakafanye reforms zao.

Amesema wapinzani wanasema CCM ndiyo ifanyiwe reform, na wakasema "No Reform no Election" lakini ndani ya chama chao wameshindwa kufanya reforms zao wakati walisema watazifanya.

Soma: Tundu Lissu: Hatutasusia Uchaguzi, tutazuia uchaguzi kwa nguvu ya Umma, sio bila mabadiliko hatutashiriki uchaguzi

Makalla ameeleza hayo leo Machi 5, 2025 wakati akizungumza katika mkutano wa viongozi wa chama na jumuiya ngazi ya shina, tawi, kata na wilaya katika Wilaya ya Ilala mkoani Dar es Salaam, ikiwa ni siku ya tatu ya ziara yake ya siku tano katika mkoa huo.

"Unapataje mamlaka ya kuomba reforms na reform hizo zimeshafanyika ndani ya tume katika sheria za uchaguzi wewe mwenyewe hutaki kufanya hata reform kwenye chama chako?" Amehoji Makalla.
View attachment 3261536
Naoma he is getting emotional
 
Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), CРА Amos Makalla amesema kuelekea katika uchaguzi mkuu, CCM inaamini imeshafanya reforms za kutosha, hivyo amemshauri Tundu Lissu na wenzake pia wakafanye reforms zao.

Amesema wapinzani wanasema CCM ndiyo ifanyiwe reform, na wakasema "No Reform no Election" lakini ndani ya chama chao wameshindwa kufanya reforms zao wakati walisema watazifanya.

Soma: Tundu Lissu: Hatutasusia Uchaguzi, tutazuia uchaguzi kwa nguvu ya Umma, sio bila mabadiliko hatutashiriki uchaguzi

Makalla ameeleza hayo leo Machi 5, 2025 wakati akizungumza katika mkutano wa viongozi wa chama na jumuiya ngazi ya shina, tawi, kata na wilaya katika Wilaya ya Ilala mkoani Dar es Salaam, ikiwa ni siku ya tatu ya ziara yake ya siku tano katika mkoa huo.

"Unapataje mamlaka ya kuomba reforms na reform hizo zimeshafanyika ndani ya tume katika sheria za uchaguzi wewe mwenyewe hutaki kufanya hata reform kwenye chama chako?" Amehoji Makalla.
View attachment 3261536

Okay sawa.

Lakini unapaswa utambue kwamba, hakuna uwezekano wa kuzuia kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu Mwaka huu wa 2025.

Aidha, ni kweli kabisa kwamba Hoja za Watu wa CHADEMA ni za kweli, pia ni za msingi. Hoja zao zina mashiko kuhusiana na Kukosekana kwa Mamlaka zinazoaminika kwa ajili ya kusimamia Uchaguzi ulio huru, wa HAKI na ulio wa Wazi.

Jambo la muhimu zaidi la kuzingatiwa ni kwamba: KAMWE CCM HAITAWEZA KUKUBALI KWA HIYARI KUBADILISHA MIFUMO YA UCHAGUZI. NA KAMWE CCM HAITAWEZA KUKUBALI KWA HIYARI KUBADILISHA KATIBA YA NCHI.

KAMWE HAUPO KABISA UWEZEKANO WA KUBADILISHA KATIBA YA NCHI KWA NJIA ZA KIDEMOKRASIA. HAUPO UWEZEKANO!

Kwa bahati mbaya sana, huu ndio Ukweli mchungu Sana kupita kiasi!
 
Reform zilizofanyika ndio zile za kumteua mgombea kinyume na taratibu?🐼
 
Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), CРА Amos Makalla amesema kuelekea katika uchaguzi mkuu, CCM inaamini imeshafanya reforms za kutosha, hivyo amemshauri Tundu Lissu na wenzake pia wakafanye reforms zao.

Amesema wapinzani wanasema CCM ndiyo ifanyiwe reform, na wakasema "No Reform no Election" lakini ndani ya chama chao wameshindwa kufanya reforms zao wakati walisema watazifanya.

Soma: Tundu Lissu: Hatutasusia Uchaguzi, tutazuia uchaguzi kwa nguvu ya Umma, sio bila mabadiliko hatutashiriki uchaguzi

Makalla ameeleza hayo leo Machi 5, 2025 wakati akizungumza katika mkutano wa viongozi wa chama na jumuiya ngazi ya shina, tawi, kata na wilaya katika Wilaya ya Ilala mkoani Dar es Salaam, ikiwa ni siku ya tatu ya ziara yake ya siku tano katika mkoa huo.

"Unapataje mamlaka ya kuomba reforms na reform hizo zimeshafanyika ndani ya tume katika sheria za uchaguzi wewe mwenyewe hutaki kufanya hata reform kwenye chama chako?" Amehoji Makalla.
View attachment 3261536
Mlifanya reforms za kujiimarisha kuiba kura
 
Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), CРА Amos Makalla amesema kuelekea katika uchaguzi mkuu, CCM inaamini imeshafanya reforms za kutosha, hivyo amemshauri Tundu Lissu na wenzake pia wakafanye reforms zao.

Amesema wapinzani wanasema CCM ndiyo ifanyiwe reform, na wakasema "No Reform no Election" lakini ndani ya chama chao wameshindwa kufanya reforms zao wakati walisema watazifanya.

Soma: Tundu Lissu: Hatutasusia Uchaguzi, tutazuia uchaguzi kwa nguvu ya Umma, sio bila mabadiliko hatutashiriki uchaguzi

Makalla ameeleza hayo leo Machi 5, 2025 wakati akizungumza katika mkutano wa viongozi wa chama na jumuiya ngazi ya shina, tawi, kata na wilaya katika Wilaya ya Ilala mkoani Dar es Salaam, ikiwa ni siku ya tatu ya ziara yake ya siku tano katika mkoa huo.

"Unapataje mamlaka ya kuomba reforms na reform hizo zimeshafanyika ndani ya tume katika sheria za uchaguzi wewe mwenyewe hutaki kufanya hata reform kwenye chama chako?" Amehoji Makalla.
View attachment 3261536

PROPAGANDA ZA KATIBU MWENEZI WA CCM AMOS MAKALA DHIDI YA TANZANIA MOJA YA KIDEMOKRASIA ZAANZA KUPINGWA NA WANA CCM

Baadhi ya wanachama wa CCM wanasema kuwa maneno anayoyasema Amos Makala ni yake mwenyewe maana hawajamtuma kuyasema hayo na yanapingana na Katiba ya nchi.

Wao wanataka mageuzi ya kimfumo kabla ya uchaguzi mkuu wa 2025.


Kwa ajili ya kuonyesha kwa vitendo misimamo yao wameanza kujivua uanachama wa CCM.

Kulingana na nakala ya barua mojawapo ya kujiuzulu niliyoiona, ikiwa imeelekezwa kwa Katibu Mkuu wa CCM, mwanachama mmoja anapinga ukaburu wa kiuchumi unaotokea kupitia sera ya PPP, uhalifu wa kiuchaguzi, na mambo kama hayo. Naambatanisha.

==========KIAMBATANISHO==============

KUTOKA KWA:

XXXXXXXXX
[Jina limehifadhiwa],
S.L.P 2916,
Dar es Salaam.
06 Machi 2025.

KWENDA KWA:

Dkt. Emmanuel Nchimbi,
Katibu Mkuu wa CCM,
Makao Makuu,
P.O.Box 50,
Dodoma.

KUPITIA KWA:

Mjumbe wa Shina la Mianzini/Kilungule,
Shina la CCM Na. 03,
Tawi la Bunju A,
Kinondoni,
Dar es Salaam.

Ndugu,

YAH: KUJIVUA UANACHAMA WA CHAMA CHA MAPINDUZI

Somo hapo juu lahusika.

Mimi XXXXXXXXXXXX ni raia mwenye NIDA No. 19720416141010000128. Pia ni mwanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) mwenye kadi ya uanachama nambari C0000-5074-897-1.

Baada ya kutafakari juu ya matukio kadhaa ya kisiasa, kiuchumi na kijamii yanayoendelea hapa nchini nimeamua kujivua uanachama wa CCM kuanzia leo tarahe 06 Machi 2025 kwa sababu kuu mbili zifuatazo:

Mosi, nimebaini kwamba, kwa sehemu kubwa, utendaji wa serikali unapishana na matakwa ya kikatiba kuhusu jukumu la serikali kukuza na kuhami tunu ya “umoja wa Taifa” inayotajwa mara nne kwenye Katiba ya nchi ya mwaka 1977.

Mfano mzuri ni utekelezaji wa sera ya PPP ambao sasa unatumika kuhalalisha “ukaburu wa kiuchumi” kwenye sekta ya miundombinu ya Barabara zinazounganisha mikoa ya Tanzania. Hapa naona tunajenga kwa mkono wa kushoto na kubomoa kwa mkono wa kulia.

Na pili, nimebaini kwamba, kwa sehemu kubwa, Chama cha Mapinduzi hakina utayari wa kujikosoa na kuikosoa serikali yake, na hivyo kukosa utayari wa kuisimamia serikali ya sasa kwa kuzingatia matakwa ya Katiba ya nchi.

Mfano mzuri ni kukataliwa kwa hoja ifuatayo, japo ni hoja sanifu, isiyo na chembe ya ulaghai: Yaani, hoja isemayo yafuatayo:

(1) Kwa kuwa mfumo wa uchaguzi wa sasa unazo dosari zinazoruhusu nchi kutekwa na kuongozwa na serikali inayopatikana kinyume na kanuni za uhuru, haki, usawa, uwazi, ushindani na kanuni nyingine za kidemokrasia; na

(2) Kwa kuwa, kwa mujibu wa Katiba Tanzania lazima iongozwe na serikali halali iliyopatikana kwa njia za kidemokrasia;

(3) Hivyo basi, inafuata kimantiki kwamba, bila mageuzi ya kimfumo kufanyika kwanza, Tanzania hatuwezi kuongozwa na serikali halali iliyotokana na uchaguzi halali kama uchaguzi huo ukipimwa kwa kutumua vigezo vya demokrasia ya vyama vingi.

Kwa barua hii naomba jina langu liondolewe kwenye kanzidata ya wanachama wa CCM.

Nakutakia tafakari njema.

XXXXXXXXX
[Jina limehifadhiwa],
Simu: XXXXXXXX
[Namba imehifadhiwa]

RAIA MWEMA.


1741331193066.png

1741331274933.png

1741331385298.png
 
Hi
Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), CРА Amos Makalla amesema kuelekea katika uchaguzi mkuu, CCM inaamini imeshafanya reforms za kutosha, hivyo amemshauri Tundu Lissu na wenzake pia wakafanye reforms zao.

Amesema wapinzani wanasema CCM ndiyo ifanyiwe reform, na wakasema "No Reform no Election" lakini ndani ya chama chao wameshindwa kufanya reforms zao wakati walisema watazifanya.

Soma: Tundu Lissu: Hatutasusia Uchaguzi, tutazuia uchaguzi kwa nguvu ya Umma, sio bila mabadiliko hatutashiriki uchaguzi

Makalla ameeleza hayo leo Machi 5, 2025 wakati akizungumza katika mkutano wa viongozi wa chama na jumuiya ngazi ya shina, tawi, kata na wilaya katika Wilaya ya Ilala mkoani Dar es Salaam, ikiwa ni siku ya tatu ya ziara yake ya siku tano katika mkoa huo.

"Unapataje mamlaka ya kuomba reforms na reform hizo zimeshafanyika ndani ya tume katika sheria za uchaguzi wewe mwenyewe hutaki kufanya hata reform kwenye chama chako?" Amehoji Makalla.
Hivi kweli CCM imekisa watu wenye weledi mpaka kuwapa nafasi kubwa watu aina ya Wasira na Makala!
 
Mwaka 2020 kura za urais, ubunge na udiwani zilipigwa siku mbili kabla pale kinondoni CCM. watoto waliokotwa miaani ili wakapige kura kwa ahadi ya kulipwa 5000/= na hawajalipwa mpaka leo. Hili naweza kulithibitisha
Hapa ndipo mnapokosa hoja zenye mantiki na zenye kueleweka, CCM waibe kura kinondoni wakati wanatimiza ilani kurasa baada ya kurasa, nukta baada ya nukta.

Na kichekesho ni kwamba wanapokuwa kwenye michakato ya kutimiza wanayoahidi kwenye kampuni CHADEMA mnaleta siasa za kipuuzi za kutaka kukwamisha mipango ambayo wananchi walielezwa kwamba itatekelezwa katika kipindi cha miaka mitano.

Kazi mnayofanya ya kusema ' HAPANA' ni ndogo sana kuliko kazi ya kutimiza ahadi huku zikiibuka changamoto nyingi wakati wa mchakato.
 
Hapa ndipo mnapokosa hoja zenye mantiki na zenye kueleweka, CCM waibe kura kinondoni wakati wanatimiza ilani kurasa baada ya kurasa, nukta baada ya nukta.

Na kichekesho ni kwamba wanapokuwa kwenye michakato ya kutimiza wanayoahidi kwenye kampuni CHADEMA mnaleta siasa za kipuuzi za kutaka kukwamisha mipango ambayo wananchi walielezwa kwamba itatekelezwa katika kipindi cha miaka mitano.

Kazi mnayofanya ya kusema ' HAPANA' ni ndogo sana kuliko kazi ya kutimiza ahadi huku zikiibuka changamoto nyingi wakati wa mchakato.
Mnatimiza ahadi gani ? Labda za kuuza bandari na mbuga za wanyama.
Tumble miaka 60 baada ya uhuru mbona watu bado wanakunywa maji ya taka? Mfano vijiji vingi vya bumbuli huko. Nako ni chadema wanakwamisha?
Barabara toka soni hadi bumbuli na kwingine kutolea mmfano tu haipitiki mda wote huo utekelezaji wa ilani mnaufanyia CHUMBANI?
 
Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), CРА Amos Makalla amesema kuelekea katika uchaguzi mkuu, CCM inaamini imeshafanya reforms za kutosha, hivyo amemshauri Tundu Lissu na wenzake pia wakafanye reforms zao.

Amesema wapinzani wanasema CCM ndiyo ifanyiwe reform, na wakasema "No Reform no Election" lakini ndani ya chama chao wameshindwa kufanya reforms zao wakati walisema watazifanya.

Soma: Tundu Lissu: Hatutasusia Uchaguzi, tutazuia uchaguzi kwa nguvu ya Umma, sio bila mabadiliko hatutashiriki uchaguzi

Makalla ameeleza hayo leo Machi 5, 2025 wakati akizungumza katika mkutano wa viongozi wa chama na jumuiya ngazi ya shina, tawi, kata na wilaya katika Wilaya ya Ilala mkoani Dar es Salaam, ikiwa ni siku ya tatu ya ziara yake ya siku tano katika mkoa huo.

"Unapataje mamlaka ya kuomba reforms na reform hizo zimeshafanyika ndani ya tume katika sheria za uchaguzi wewe mwenyewe hutaki kufanya hata reform kwenye chama chako?" Amehoji Makalla.

Video: TBC Digital
Hivi hili guluguja halina tena maneno ya kuzungumza na wanaccm kila likilala likiamka ni Lissu tu.
 
Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), CРА Amos Makalla amesema kuelekea katika uchaguzi mkuu, CCM inaamini imeshafanya reforms za kutosha, hivyo amemshauri Tundu Lissu na wenzake pia wakafanye reforms zao.

Amesema wapinzani wanasema CCM ndiyo ifanyiwe reform, na wakasema "No Reform no Election" lakini ndani ya chama chao wameshindwa kufanya reforms zao wakati walisema watazifanya.

Soma: Tundu Lissu: Hatutasusia Uchaguzi, tutazuia uchaguzi kwa nguvu ya Umma, sio bila mabadiliko hatutashiriki uchaguzi

Makalla ameeleza hayo leo Machi 5, 2025 wakati akizungumza katika mkutano wa viongozi wa chama na jumuiya ngazi ya shina, tawi, kata na wilaya katika Wilaya ya Ilala mkoani Dar es Salaam, ikiwa ni siku ya tatu ya ziara yake ya siku tano katika mkoa huo.

"Unapataje mamlaka ya kuomba reforms na reform hizo zimeshafanyika ndani ya tume katika sheria za uchaguzi wewe mwenyewe hutaki kufanya hata reform kwenye chama chako?" Amehoji Makalla.

Video: TBC Digital
Hivi hawa watu wanatuonaje!? Aaaaarrrghh..!
 
Naona Makalla anahangaika!
Hoja hujibiwa na hoja,yeye kazungumzia reform ndani ya vyama,party reforms ya ukomo kuwa Mwenyekiti wa chama.
Kitu ambacho Lissu alikipigania, alidai akichaguliwa ndio agenda ya kuanzia. Lakini Halmashauri imekutana ajafanya hilo.
Kwa hiyo kukosolewa mnaona ni shida.Akizoea anageuka Sultan.
 
Mnatimiza ahadi gani ? Labda za kuuza bandari na mbuga za wanyama.
Tumble miaka 60 baada ya uhuru mbona watu bado wanakunywa maji ya taka? Mfano vijiji vingi vya bumbuli huko. Nako ni chadema wanakwamisha?
Barabara toka soni hadi bumbuli na kwingine kutolea mmfano tu haipitiki mda wote huo utekelezaji wa ilani mnaufanyia CHUMBANI?
Mkuu tafuta uelewa wa masuala ya bandari usiziamini hizi kauli za vijiweni kwamba imeuzwa, hakuna anayeweza kuuza TPA ni uwekezaji ili tija kubwa iweze kupatikana na nidhamu ya uendeshaji iongezeke.

Mabadiliko huja taratibu hayaji haraka kwa kasi tunayodhani yanatakiwa yatufikie. Ukiona huko bumbuli na soni barabara hazipitiki kumbuka kuna mwendokasi unaendelea kujengwa kutoka Mwenge mpaka Tegeta, kuna viwanja sita vya ndege vinaendelea kujengwa muda huu.

Kuna ndege tatu zimeshalipiwa na muda wowote zitafika nchini kutoka Canada na jumla tutakuwa na ndege 15. Kuna SGR inapeleka na kurudisha watanzania kila siku kuelekea Dodoma na Dar. Yapo mengi yanayofanyika muda.
 
Mkuu tafuta uelewa wa masuala ya bandari usiziamini hizi kauli za vijiweni kwamba imeuzwa, hakuna anayeweza kuuza TPA ni uwekezaji ili tija kubwa iweze kupatikana na nidhamu ya uendeshaji iongezeke.

Mabadiliko huja taratibu hayaji haraka kwa kasi tunayodhani yanatakiwa yatufikie. Ukiona huko bumbuli na soni barabara hazipitiki kumbuka kuna mwendokasi unaendelea kujengwa kutoka Mwenge mpaka Tegeta, kuna viwanja sita vya ndege vinaendelea kujengwa muda huu.

Kuna ndege tatu zimeshalipiwa na muda wowote zitafika nchini kutoka Canada na jumla tutakuwa na ndege 15. Kuna SGR inapeleka na kurudisha watanzania kila siku kuelekea Dodoma na Dar. Yapo mengi yanayofanyika muda.
Miaka 60 plus ya uhuru CCM bado inacheza NACHI.ambo haya kamwambie bibi yako kule Mwihambwe. Mimi kwa level yangu hutaweza
 
Back
Top Bottom