Amos Makalla: Mabasi ya Mwendokasi yataanza kazi Mbagala Desemba 2024

Amos Makalla: Mabasi ya Mwendokasi yataanza kazi Mbagala Desemba 2024

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Wakati Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla akisema kuna mabasi 200 yaendayo haraka yanayoyotarajiwa kuanza kazi katika barabara ya Mbagala, Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart), Dk Athuman Kihamia amesema hayo ni maelekezo ya Serikali.

Makalla ameeleza hayo leo Alhamisi Agosti 29, 2024 akiwahutubia wananchi wa Mbagala katika mkutano wa hadhara uliofanyika uwanja wa Maturubai wilayani Temeke, baada ya kufanya ziara ya siku 10 katika wilaya tano za Mkoa wa Dar es Salaam.

"Hii miundombinu ya barabara imekalimilika muda mrefu tangu nikiwa mkuu wa mkoa wa hapa (Dar es Salaam), nimefuatilia, niseme nisiseme? Mwenezi wenu nina habari nimefuatilia na wamenihakikishia wapo katika hatua ya mwisho kuleta mabasi 200 Desemba ili yaanze kufanya kazi," amesema Makalla.

Ameongeza kuwa, chama hicho tawala, kimezungumza na Serikali kuhusu mwenendo wa mradi huo na kuhakikishia kuwa utaanza Desemba kwa mabasi 200 ya kuanzia akiwataka watumiaji wa barabara hizo kuwa watulivu.

Hata hivyo, Mwananchi lilipomtafuta Dk Kihamia na kumuuliza kuhusu kauli hiyo, amesema kwa kuwa imetolewa na kiongozi wa juu wa CCM, ndiyo maelekezo ya Serikali.

1724950628280.jpeg

MWANANCHI

Pia soma:Meneja BRT : Mradi wa Mwendokasi Mbagala-Gerezani umefikia 99%, kukamilika
 
Wakati Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla akisema kuna mabasi 200 yaendayo haraka yanayoyotarajiwa kuanza kazi katika barabara ya Mbagala, Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart), Dk Athuman Kihamia amesema hayo ni maelekezo ya Serikali.

Makalla ameeleza hayo leo Alhamisi Agosti 29, 2024 akiwahutubia wananchi wa Mbagala katika mkutano wa hadhara uliofanyika uwanja wa Maturubai wilayani Temeke, baada ya kufanya ziara ya siku 10 katika wilaya tano za Mkoa wa Dar es Salaam.

"Hii miundombinu ya barabara imekalimilika muda mrefu tangu nikiwa mkuu wa mkoa wa hapa (Dar es Salaam), nimefuatilia, niseme nisiseme? Mwenezi wenu nina habari nimefuatilia na wamenihakikishia wapo katika hatua ya mwisho kuleta mabasi 200 Desemba ili yaanze kufanya kazi," amesema Makalla.

Ameongeza kuwa, chama hicho tawala, kimezungumza na Serikali kuhusu mwenendo wa mradi huo na kuhakikishia kuwa utaanza Desemba kwa mabasi 200 ya kuanzia akiwataka watumiaji wa barabara hizo kuwa watulivu.

Hata hivyo, Mwananchi lilipomtafuta Dk Kihamia na kumuuliza kuhusu kauli hiyo, amesema kwa kuwa imetolewa na kiongozi wa juu wa CCM, ndiyo maelekezo ya Serikali.


MWANANCHI

Pia soma:Meneja BRT : Mradi wa Mwendokasi Mbagala-Gerezani umefikia 99%, kukamilika
Sasa hapo nani ni mkweli? Fanuel Karugendo wa UDART alisema kuwa mradi utaanza na mabasi 750 kulingana na mahitaji, kwani yatasafirisha abiria kati ya laki sita na laki saba kwa siku.

Sasa Makala naye anakuja na maelezo haya ya mabasi 200 ya kuanzia, kwamba kwa idadi hiyo ya abiria laki saba kwa siku si ndiyo yatakufa mapema kwa kufanya kazi ya mabasi 750?

Hebu CCM na UDART wakubaliane kwanza kuhusu idadi ya hayo mabasi ya kuanzia huo mradi, ipi ni sahihi kati ya ile ya Karugendo na hii ya Makala. Ama wanajua wanachi wamesahau?

Ova
 
Wakati Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla akisema kuna mabasi 200 yaendayo haraka yanayoyotarajiwa kuanza kazi katika barabara ya Mbagala, Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart), Dk Athuman Kihamia amesema hayo ni maelekezo ya Serikali.

Makalla ameeleza hayo leo Alhamisi Agosti 29, 2024 akiwahutubia wananchi wa Mbagala katika mkutano wa hadhara uliofanyika uwanja wa Maturubai wilayani Temeke, baada ya kufanya ziara ya siku 10 katika wilaya tano za Mkoa wa Dar es Salaam.

"Hii miundombinu ya barabara imekalimilika muda mrefu tangu nikiwa mkuu wa mkoa wa hapa (Dar es Salaam), nimefuatilia, niseme nisiseme? Mwenezi wenu nina habari nimefuatilia na wamenihakikishia wapo katika hatua ya mwisho kuleta mabasi 200 Desemba ili yaanze kufanya kazi," amesema Makalla.

Ameongeza kuwa, chama hicho tawala, kimezungumza na Serikali kuhusu mwenendo wa mradi huo na kuhakikishia kuwa utaanza Desemba kwa mabasi 200 ya kuanzia akiwataka watumiaji wa barabara hizo kuwa watulivu.

Hata hivyo, Mwananchi lilipomtafuta Dk Kihamia na kumuuliza kuhusu kauli hiyo, amesema kwa kuwa imetolewa na kiongozi wa juu wa CCM, ndiyo maelekezo ya Serikali.


MWANANCHI

Pia soma:Meneja BRT : Mradi wa Mwendokasi Mbagala-Gerezani umefikia 99%, kukamilika

Mtuambie aliyesababusha mabasi ya kwanza kufa na kuporomoka kwa shirika amewajibishwaje?
Kukopa na kutegemea hela za walipa kodi kurudisha mikopo, kunataka kila mtu awajibike kulinda hela hizo. Kinachoendelea kinahuzunisha.
Kwanini walikuwa wanatumia ticket za mkono badala ya za kigitali?
 
Kama ni yale yale ya used from(.........), Hapo naamini yanaenda kufanya majaribio ya miundombinu ya barabara na sio kuanza kazi. Baada ya siku chache tutaona yameharibika na kuwekwa vituoni.
 
Wakati Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla akisema kuna mabasi 200 yaendayo haraka yanayoyotarajiwa kuanza kazi katika barabara ya Mbagala, Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart), Dk Athuman Kihamia amesema hayo ni maelekezo ya Serikali.

Makalla ameeleza hayo leo Alhamisi Agosti 29, 2024 akiwahutubia wananchi wa Mbagala katika mkutano wa hadhara uliofanyika uwanja wa Maturubai wilayani Temeke, baada ya kufanya ziara ya siku 10 katika wilaya tano za Mkoa wa Dar es Salaam.

"Hii miundombinu ya barabara imekalimilika muda mrefu tangu nikiwa mkuu wa mkoa wa hapa (Dar es Salaam), nimefuatilia, niseme nisiseme? Mwenezi wenu nina habari nimefuatilia na wamenihakikishia wapo katika hatua ya mwisho kuleta mabasi 200 Desemba ili yaanze kufanya kazi," amesema Makalla.

Ameongeza kuwa, chama hicho tawala, kimezungumza na Serikali kuhusu mwenendo wa mradi huo na kuhakikishia kuwa utaanza Desemba kwa mabasi 200 ya kuanzia akiwataka watumiaji wa barabara hizo kuwa watulivu.

Hata hivyo, Mwananchi lilipomtafuta Dk Kihamia na kumuuliza kuhusu kauli hiyo, amesema kwa kuwa imetolewa na kiongozi wa juu wa CCM, ndiyo maelekezo ya Serikali.


MWANANCHI

Pia soma:Meneja BRT : Mradi wa Mwendokasi Mbagala-Gerezani umefikia 99%, kukamilika
Infrastructure zimeshachakaa na baadhi kuanza kuharibika ndo wanaanza kuzitumia?

Bongo nyoso
 
Sasa hapo nani ni mkweli? Fanuel Karugendo wa UDART alisema kuwa mradi utaanza na mabasi 750 kulingana na mahitaji, kwani yatasafirisha abiria kati ya laki sita na laki saba kwa siku.

Sasa Makala naye anakuja na maelezo haya ya mabasi 200 ya kuanzia, kwamba kwa idadi hiyo ya abiria laki saba kwa siku si ndiyo yatakufa mapema kwa kufanya kazi ya mabasi 750?

Hebu CCM na UDART wakubaliane kwanza kuhusu idadi ya hayo mabasi ya kuanzia huo mradi, ipi ni sahihi kati ya ile ya Karugendo na hii ya Makala. Ama wanajua wanachi wamesahau?

Ova
Jamaa yangu wa karibu - Kampuni yao ndo inaleta haya mabus. Wanategemea leta buses 3500( pamoja na Bus za njia zingine). Hizi 200 ndo kwa sasa zipo zinazalishwa factory ! Mbagala mpaka April 2025 Hizo 750 na za ziada 45 Buses zitakuwa kwa Bara bara zikiudumia Wana mbagala;Kila Mwendo kasi Bus zake zina specifications Tofauti.So baada ya kutoa order ndo zinaanza kuzalishwa.. Sio kila Bus zinafaa- Ameniambia zipo pia Bus za Gesi Asilia na machache yatakuwa ya Umeme.
 
Back
Top Bottom