Amos Makalla: Mabasi ya Mwendokasi yataanza kazi Mbagala Desemba 2024

Amos Makalla: Mabasi ya Mwendokasi yataanza kazi Mbagala Desemba 2024

Emirates yupo wapi? Mheshimiwa Mchengerwa ulituaminisha ataanza kazi September 2024. KAFIULILA naye akaja kutuaminisha nadharia zake za PPP sasa kiko wapi?
 
Wakati Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla akisema kuna mabasi 200 yaendayo haraka yanayoyotarajiwa kuanza kazi katika barabara ya Mbagala, Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart), Dk Athuman Kihamia amesema hayo ni maelekezo ya Serikali.

Makalla ameeleza hayo leo Alhamisi Agosti 29, 2024 akiwahutubia wananchi wa Mbagala katika mkutano wa hadhara uliofanyika uwanja wa Maturubai wilayani Temeke, baada ya kufanya ziara ya siku 10 katika wilaya tano za Mkoa wa Dar es Salaam.

"Hii miundombinu ya barabara imekalimilika muda mrefu tangu nikiwa mkuu wa mkoa wa hapa (Dar es Salaam), nimefuatilia, niseme nisiseme? Mwenezi wenu nina habari nimefuatilia na wamenihakikishia wapo katika hatua ya mwisho kuleta mabasi 200 Desemba ili yaanze kufanya kazi," amesema Makalla.

Ameongeza kuwa, chama hicho tawala, kimezungumza na Serikali kuhusu mwenendo wa mradi huo na kuhakikishia kuwa utaanza Desemba kwa mabasi 200 ya kuanzia akiwataka watumiaji wa barabara hizo kuwa watulivu.

Hata hivyo, Mwananchi lilipomtafuta Dk Kihamia na kumuuliza kuhusu kauli hiyo, amesema kwa kuwa imetolewa na kiongozi wa juu wa CCM, ndiyo maelekezo ya Serikali.


MWANANCHI

Pia soma:Meneja BRT : Mradi wa Mwendokasi Mbagala-Gerezani umefikia 99%, kukamilika
Usiamini wanasiasa!
 
Wakati Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla akisema kuna mabasi 200 yaendayo haraka yanayoyotarajiwa kuanza kazi katika barabara ya Mbagala, Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart), Dk Athuman Kihamia amesema hayo ni maelekezo ya Serikali.

Makalla ameeleza hayo leo Alhamisi Agosti 29, 2024 akiwahutubia wananchi wa Mbagala katika mkutano wa hadhara uliofanyika uwanja wa Maturubai wilayani Temeke, baada ya kufanya ziara ya siku 10 katika wilaya tano za Mkoa wa Dar es Salaam.

"Hii miundombinu ya barabara imekalimilika muda mrefu tangu nikiwa mkuu wa mkoa wa hapa (Dar es Salaam), nimefuatilia, niseme nisiseme? Mwenezi wenu nina habari nimefuatilia na wamenihakikishia wapo katika hatua ya mwisho kuleta mabasi 200 Desemba ili yaanze kufanya kazi," amesema Makalla.

Ameongeza kuwa, chama hicho tawala, kimezungumza na Serikali kuhusu mwenendo wa mradi huo na kuhakikishia kuwa utaanza Desemba kwa mabasi 200 ya kuanzia akiwataka watumiaji wa barabara hizo kuwa watulivu.

Hata hivyo, Mwananchi lilipomtafuta Dk Kihamia na kumuuliza kuhusu kauli hiyo, amesema kwa kuwa imetolewa na kiongozi wa juu wa CCM, ndiyo maelekezo ya Serikali.


MWANANCHI

Pia soma:Meneja BRT : Mradi wa Mwendokasi Mbagala-Gerezani umefikia 99%, kukamilika
Usiwe na haraka Disemba hazijaisha bado ziko nyingi zinakuja.
 
Jamaa yangu wa karibu - Kampuni yao ndo inaleta haya mabus. Wanategemea leta buses 3500( pamoja na Bus za njia zingine). Hizi 200 ndo kwa sasa zipo zinazalishwa factory ! Mbagala mpaka April 2025 Hizo 750 na za ziada 45 Buses zitakuwa kwa Bara bara zikiudumia Wana mbagala;Kila Mwendo kasi Bus zake zina specifications Tofauti.So baada ya kutoa order ndo zinaanza kuzalishwa.. Sio kila Bus zinafaa- Ameniambia zipo pia Bus za Gesi Asilia na machache yatakuwa ya Umeme.
Mwanzo halikujulikana hili. Kinyonga ni yule yule atajibadilisha rangi tu.
 
Wakati Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla akisema kuna mabasi 200 yaendayo haraka yanayoyotarajiwa kuanza kazi katika barabara ya Mbagala, Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart), Dk Athuman Kihamia amesema hayo ni maelekezo ya Serikali.

Makalla ameeleza hayo leo Alhamisi Agosti 29, 2024 akiwahutubia wananchi wa Mbagala katika mkutano wa hadhara uliofanyika uwanja wa Maturubai wilayani Temeke, baada ya kufanya ziara ya siku 10 katika wilaya tano za Mkoa wa Dar es Salaam.

"Hii miundombinu ya barabara imekalimilika muda mrefu tangu nikiwa mkuu wa mkoa wa hapa (Dar es Salaam), nimefuatilia, niseme nisiseme? Mwenezi wenu nina habari nimefuatilia na wamenihakikishia wapo katika hatua ya mwisho kuleta mabasi 200 Desemba ili yaanze kufanya kazi," amesema Makalla.

Ameongeza kuwa, chama hicho tawala, kimezungumza na Serikali kuhusu mwenendo wa mradi huo na kuhakikishia kuwa utaanza Desemba kwa mabasi 200 ya kuanzia akiwataka watumiaji wa barabara hizo kuwa watulivu.

Hata hivyo, Mwananchi lilipomtafuta Dk Kihamia na kumuuliza kuhusu kauli hiyo, amesema kwa kuwa imetolewa na kiongozi wa juu wa CCM, ndiyo maelekezo ya Serikali.


MWANANCHI

Pia soma:Meneja BRT : Mradi wa Mwendokasi Mbagala-Gerezani umefikia 99%, kukamilika
Samahani ni December 2025
 
Maeneo kama haya huwezi kumkuta Lucas mashambwa akielezea au kufafanua na kuimba mapambio ya sifa kama kawaida yake. Kutokana na uchawa wake.
 
Wakati Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla akisema kuna mabasi 200 yaendayo haraka yanayoyotarajiwa kuanza kazi katika barabara ya Mbagala, Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart), Dk Athuman Kihamia amesema hayo ni maelekezo ya Serikali.

Makalla ameeleza hayo leo Alhamisi Agosti 29, 2024 akiwahutubia wananchi wa Mbagala katika mkutano wa hadhara uliofanyika uwanja wa Maturubai wilayani Temeke, baada ya kufanya ziara ya siku 10 katika wilaya tano za Mkoa wa Dar es Salaam.

"Hii miundombinu ya barabara imekalimilika muda mrefu tangu nikiwa mkuu wa mkoa wa hapa (Dar es Salaam), nimefuatilia, niseme nisiseme? Mwenezi wenu nina habari nimefuatilia na wamenihakikishia wapo katika hatua ya mwisho kuleta mabasi 200 Desemba ili yaanze kufanya kazi," amesema Makalla.

Ameongeza kuwa, chama hicho tawala, kimezungumza na Serikali kuhusu mwenendo wa mradi huo na kuhakikishia kuwa utaanza Desemba kwa mabasi 200 ya kuanzia akiwataka watumiaji wa barabara hizo kuwa watulivu.

Hata hivyo, Mwananchi lilipomtafuta Dk Kihamia na kumuuliza kuhusu kauli hiyo, amesema kwa kuwa imetolewa na kiongozi wa juu wa CCM, ndiyo maelekezo ya Serikali.


MWANANCHI

Pia soma:Meneja BRT : Mradi wa Mwendokasi Mbagala-Gerezani umefikia 99%, kukamilika
Okay
 
Back
Top Bottom