LGE2024 Amos Makalla: Mitaa 59 Ilala kusimama bila Wapinzani

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

PendoLyimo

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2014
Posts
969
Reaction score
1,055
Kwa mujibu wa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi CCM Amos Makalla amesema kati ya mitaa 159 ya Wilaya ya Ilala, Jumla ya Mitaa 59 hakuna mpinzani hivyo wagombea wa CCM watapigiwa kura ya ndio na hapana wenyewe.

Makalla ameyasema hayo wakati wa mkutano wa hadhara wa kampeni za serikali za mitaa Vingunguti jijini Dar es Salaam.

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 
Katika karne ya 21 mtu anakosea kujaza fomu? Ya wanafunzi wa VETA fomu zote zinajazwa bila kukosea. Siku zikijazwa online si tutabiwa nyengine hazijafika?
 
what a coincidence mitaa 159, 59 kw upinzani inaondolewa washindane kweny 100, nikama mipango imekamilika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…