''Kama ni kweli, basi JK atakuwa anaruka mkojo anakanyaga mavi. Kumrudisha yule aliyeidhinisha malipo BoT yasiyokuwa na kichwa wala miguu!! Meghji anajua pale alipozipeleka hizo fedha haramu yeye na Mrhm. Balali.
Anyway, tusubiri ukweli, maana bado ni tetesi''
Idume umesema! Mi najiuliza je zile fedha c kuna fununu zilitumika kwa gharama za kapeni za chama dume ktk uchaguzi ulio mwingza mkuu madarakani, inawezekana akawa anataka kumtumia tena huyu mama kwa uzoefu wake namna ya kupata fungu la gharama za uchaguzi.