Amos Makalla nje, Zhakia Meghji ndani!

No Research no right to speak.Hakuwepo hazina wakati wa EPA,alikuwa maliasili fedha alikuwa mramba, Blunder alofanya ni kuingizwa choo cha kiume na Balali ku sign asokijua wakati wa Auditing, baadae alipostukia aka withdraw the statement.

Mkuu nadhani utakumbuka kuwa yeye ndio alisaini barua inayowapa ruhusa kagoda kuchota yale mabilioni kwa sababu yalikuwa yanelenga kufanya kazi za usalama wa nchi. Kwa hiyo sio wakati wa mramba tu alihusika pia kutoa some mane.
 
Mkuu nadhani utakumbuka kuwa yeye ndio alisaini barua inayowapa ruhusa kagoda kuchota yale mabilioni kwa sababu yalikuwa yanelenga kufanya kazi za usalama wa nchi. Kwa hiyo sio wakati wa mramba tu alihusika pia kutoa some mane.

Hiyo ni spin, Kagoda ni part ya pesa zilizotoka EPA, yeye hakutoa ruhusa kwa kampuni yoyote kuchukua pesa kama ulivyosema. Alicho sign ni barua kwenda kwa auditors period. The rest ni spin kwa sababu mnazozijua. Kujaribu kupotasha umma ni kuhujumu. You can't go wrong JF, information source!! Ukweli umepewa hapo chini
No Research no right to speak.Hakuwepo hazina wakati wa EPA,alikuwa maliasili fedha alikuwa mramba, Blunder alofanya ni kuingizwa choo cha kiume na Balali ku sign asokijua wakati wa Auditing, baadae alipostukia aka withdraw the statement.
 

Hapo kwenye nyekundu, kujiuzulu lazima kuandika barua ya kujiuzulu. Meghji hakuchaguliwa kwenye baraza jipya baada ya reshuffle, lakini mimi sikumbuki kama alijiuzulu kama mwandishi alivyoweka hapo. Mwenye data kamili weka hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…