LGE2024 Amos Makalla: Tulipokuwa tunajiandaa na Uchaguzi wenzetu walikuwa kwenye Maandamano!

LGE2024 Amos Makalla: Tulipokuwa tunajiandaa na Uchaguzi wenzetu walikuwa kwenye Maandamano!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
CPA Amos Makalla ametoa angalizo kwa vyama vya upinzani hususan CHADEMA kuwa kimeanza kutafuta visingizio vya kishindwa uchaguzi wakati ambapo hakijajiandaa kabisa na uchaguzi.

“unachokipanda ndicho unachokivuna wenzetu wameanza kulalamika tulitegemea haya mana hawakujipanga Sisi Viongozi wote kuanzia wa kitaifa mpaka ngazi ya chini tulienda kutoa hamasa ya kujiandikisha leo hii wenzetu wameanza kutafuta vijisababu watulie wafuate sheria sisi tumejipanga” alisema

Soma Pia: Makalla: Hatuhitaji mbereko yoyote Tutashida Uchaguzi kwa haki


=== = ========================

MWENEZI CPA AMOS MAKALLA AJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA WAKAAZI LA WAPIGA KURA.

Katibu wa NEC-Itikadi Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa CPA Amos Makalla ameshiriki zoezi la kujiandikisha kwenye daftari la wakaazi kwaajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwenye Ofisi ya Serikali za Mitaa TPDC Kata ya Mikocheni Wilaya ya Kinondoni Mkoa wa Dar es salam.leo tarehe 16 Octoba 2024.

Akizungumza na wakazi wa Mtaa wa TPDC Mikocheni mara baada ya kujiandikisha CPA Makalla amesema zoezi la kujiandikisha katika daftari la kupiga kura ni muhimu sana na amefurahi kutimiza haki yake ya msingi ya kujiandikisha na ameridhishwa na utaratibu wa zoezi hilo.

Amewataka Watanzania bila kujali tofauti za kiitikadi kujitokeza kwenye zoezi hilo kwani ni muhimu katika kuweka msingi wa maendeleo ya wananchi.

Aidha Katibu Mwenezi huyo ameongeza kuwa CCM inaridhika na jinsi zoezi hilo linavyoendelea.
 
Kule Ig nimeona baadhi wakisambaza video wanafunzi wakiwa foleni ya kuandikishwa. Vipi hilo Makalla amelizungumziaje au hajapitia huko mitandaoni akaona
 
1. Nimekusikia ukimlilia Mungu kuwa mshahara wa dhambi ni Mauti. CCM si wa kauli kama hiyo, CCM hawana Roho!

2. Kauli anazozitoa makalla na Nchimbi unaona kabisa kuwa hapa hakuna uchaguzi wowote. Hakuna mpinzani atatangazwa nwaapia!

4. Wana back up kubwa ya Samia na vyombo vyote vya dola.

5. YOU NEED ANOTHER APPROACH, NOT THIS ONE YOU ARE PURSUING!

Lema:
Ni kweli hatukujianda kuiba na kufanya uharamia kwenye daftari la mkazi Uchaguzi Serikali za Mtaa. Nyie ni wezi wasio hata na adabu , siku yenu inakuja.
[URL='https://x.com/godbless_lema'][/URL]


View: https://x.com/godbless_lema/status/1846558655958724671?t=vZlIMdizwxUNbONfpnMeMQ&s=03
 
5. YOU NEED ANOTHER APPROACH, NOT THIS ONE YOU ARE PURSUING!
Hiyo physical confrontation unayemhamasisha aifanye nani? Juzi yaliitishwa maandamano ya Samia must go mkachicken, mkamwachia mbowe peke yake na familia yake. Leo unajifanya shujaa wa kwenye mitandao kuhamasisha physical confrontation! Anza wewe peke yako tukuone. Acha kusakizia wenzio.
 
Nashauri vyama vya upinzani wahamasishe watu kujiandikisha badala ya kulalamika tu. Kama wanampango wakuweka wagombea hakuna namna ya kususia zoezi hili, vinginevyo waseme hawatashiriki uchaguzi. Pia wasije wakazuia wenzako wangazi zamitaa kugombea then wao mwakani wakagombea udiwani,ubunge na uraisi
 
Wapinzani wanaogopa kitu gani, kwani kuna uchaguzi au maigizo? Na anataka watu waamini kuwa kuna uchaguzi?!
Basi tulieni .....mnalia nini sasa na hao waandikishaji wakati mlishajua mapema.......Samia mwakani ni 100% kazi iendelee.....kama mzee wa hapa kazi alipiga kwenye 80% huyu anaongezewa 20 zilizobaki
 
Basi tulieni .....mnalia nini sasa na hao waandikishaji wakati mlishajua mapema.......Samia mwakani ni 100% kazi iendelee.....kama mzee wa hapa kazi alipiga kwenye 80% huyu anaongezewa 20 zilizobaki
Sio 100% tu, mpeni 200% kabisa. Ila tumesema hivi, hatushiriki huo upuuzi uitwao uchaguzi. Kwa hiyo turnout ndio mjue mnakubalika na watu kiasi gani.
 
sahihi kabisa kwamara ya kwanza naungana na makala

MUDA ,natokea dodoma nimefika kihesa iringa ,ofisi ya kata naulizia wakala CHADEMA yukowapi naambiwa Toka siku kwanza kuandikisha mwandikishaji anasema hajawahi waona

Kama ,kihesa hii ilikuwa CHADEMA tupu
Ngoja ,niendelee na safari yangu mpanda
 
#HABARI: Wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM), kutoka Chanika, Buguruni, Tandika na Ukonga, wamevamia ofisi za CCM, Mkoa wa Dar es Salaam kwa madai ya kutaka uchaguzi urudiwe baada ya kutokea fujo na wizi wa kura katika uchaguzi wa ndani uliofanyika hivi karibuni.

#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania.

#Follow RadioOneStereo
CPA Amos Makalla ametoa angalizo kwa vyama vya upinzani hususan CHADEMA kuwa kimeanza kutafuta visingizio vya kishindwa uchaguzi wakati ambapo hakijajiandaa kabisa na uchaguzi.

“unachokipanda ndicho unachokivuna wenzetu wameanza kulalamika tulitegemea haya mana hawakujipanga Sisi Viongozi wote kuanzia wa kitaifa mpaka ngazi ya chini tulienda kutoa hamasa ya kujiandikisha leo hii wenzetu wameanza kutafuta vijisababu watulie wafuate sheria sisi tumejipanga” alisema

Soma Pia: Makalla: Hatuhitaji mbereko yoyote Tutashida Uchaguzi kwa haki

=== = ========================

MWENEZI CPA AMOS MAKALLA AJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA WAKAAZI LA WAPIGA KURA.

Katibu wa NEC-Itikadi Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa CPA Amos Makalla ameshiriki zoezi la kujiandikisha kwenye daftari la wakaazi kwaajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwenye Ofisi ya Serikali za Mitaa TPDC Kata ya Mikocheni Wilaya ya Kinondoni Mkoa wa Dar es salam.leo tarehe 16 Octoba 2024.

Akizungumza na wakazi wa Mtaa wa TPDC Mikocheni mara baada ya kujiandikisha CPA Makalla amesema zoezi la kujiandikisha katika daftari la kupiga kura ni muhimu sana na amefurahi kutimiza haki yake ya msingi ya kujiandikisha na ameridhishwa na utaratibu wa zoezi hilo.

Amewataka Watanzania bila kujali tofauti za kiitikadi kujitokeza kwenye zoezi hilo kwani ni muhimu katika kuweka msingi wa maendeleo ya wananchi.

Aidha Katibu Mwenezi huyo ameongeza kuwa CCM inaridhika na jinsi zoezi hilo linavyoendelea.
 
Back
Top Bottom