Amos Makalla una sababu ya msingi ya kuendelea kuwa RC Mkoa wa Dar es Salaam?

Amos Makalla una sababu ya msingi ya kuendelea kuwa RC Mkoa wa Dar es Salaam?

RPC Kanda maalumu, afisa usalama mkoa (TISS) na ma RPC wa mikoa ya kipolisi wawe wa kwanza kuwajibishwa!
 
Yaani tunashindwa kuchunguza na kujua Panya road ni akina nani na wanatokea wapi ili tuchukue hatua?.

Yaani kitengo cha CID jeshi la polisi, na hata task force fulani ya TISS wanashindwa kufanya intelejensia for a week na kukamata wote pamoja na kukata mzizi kabisa?

Yaani vitoto vidogo ndio vinasumbua mijitu tuliyoisomesha kwa hela nyingi nje na ndani na kuwapa majukumu ya kutulinda na kututumikia huku wengine tukifanya kazi kwa bidii kulipa kodi na kujenga nchi halafu yenyewe inakuwa mipumbavu tu.
Sasa hivyo vitengo kwa sasa si nasikia vimejaa UVCCM!
 
Back
Top Bottom