Pre GE2025 Amosi Makalla mwenezi wangu punguza kuwataja taja CHADEMA katika Mikutano yako unawapa unnecessary mileage

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† Na bado!
 
Hana jinsi zaidi ya kuushi ukweli. Kila akiangalia kura za ccm ni lazima vyombo vya dola vihusike, na kura wanazopora ni za cdm, hapo unatarajia aache kuwataja kila mara?
 
Wewe mbona umewataja, naye kama wewe, usimlaumu basi.
 
Bila kuitaja Chadema mkutano wa CCM hauwezi kunoga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…