Amri 10 za kuwaongoza wanafunzi wa vyuo vikuu

Amri 10 za kuwaongoza wanafunzi wa vyuo vikuu

kwa kifupi ninabidi leo nifunguke baada ya kuwa nipo busy kwenye dissertation yangu niliyokuwa nafanya kuhusu majigambo ya wanafunzi wa udsm kwa nilicho kigudua ni kuwa wanafunzi walio wengi wa ud hawana uwezo wa kupambaua hoja mbalimbali wanaishia tu kusema tupo chuo bora kumbe hawana lolote, kwa kuthibitisha hilo tunaomba mdahalo kati ya SEKOMU na UDSM halafu wa Watanzania watasema kipi ni chuo bora.
 
kwa kifupi ninabidip leo nifunguke baada ya kuwa nipo busy kwenye dissertation yangu niliyokuwa nafanya kuhusu majigambo ya wanafunzi wa udsm kwa nilicho kigudua ni kuwa wanafunzi walio wengi wa ud hawana uwezo wa kupambaua hoja mbalimbali wanaishia tu kusema tupo chuo bora kumbe hawana lolote, kwa kuthibitisha hilo tunaomba mdahalo kati ya SEKOMU na UDSM halafu wa Watanzania watasema kipi ni chuo bora.

punguza hasira
 
kwa kifupi ninabidi leo nifunguke baada ya kuwa nipo busy kwenye dissertation yangu niliyokuwa nafanya kuhusu majigambo ya wanafunzi wa udsm kwa nilicho kigudua ni kuwa wanafunzi walio wengi wa ud hawana uwezo wa kupambaua hoja mbalimbali wanaishia tu kusema tupo chuo bora kumbe hawana lolote, kwa kuthibitisha hilo tunaomba mdahalo kati ya SEKOMU na UDSM halafu wa Watanzania watasema kipi ni chuo bora.


Yani ndugu yangu umeonesha udhaifu mkubwa wa kifikra,tena umejishusha gredi wewe na chuo chako..kila siku mnaelezwa kwamba haina haja ya kushindanisha vyuo coz nature ndio inajaji,we na utahira wako unaomba mdahalo..shenzzz kabisa
 
Back
Top Bottom