Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Azam hawajui hata wachezeje hapa Tanga vs Coastal union, sioni mipango yoyote ya wao kupata goli hapa, they are playing as if they have forced to play, hawa msije kusema Simba wamebebwa maana uwanja mzima namuona Fei na Nurdin t yule mmanga aliyetoka Singida Black stars.
Butua butua nyingiiiii
Butua butua nyingiiiii