Amri kiemba: Azam wakiwa wanajiandaa kucheza na Yanga maandalizi ni kama final, tofauti wakicheza na Simba

Amri kiemba: Azam wakiwa wanajiandaa kucheza na Yanga maandalizi ni kama final, tofauti wakicheza na Simba

Mwanzoni Azam inaanzishwa nilikuwa naipenda kuishabikia. Lakini baada kuona inafungwa ovyo oyo tu pamoja na kuwa moja ya timu ambazo zina kila kitu hasa hasa kwa wachezaji.

Nimeamua kuhamia Yanga SC. Kiukweli na enjoy kuwa mwananchi. Pamoja na hao Azam kuonyesha wazi wazi ule Friends of Simba hainitishi. Msimu Mzigo ni wetu.

#LeohadikeshomiminiMwananchi
Hongera sana mkuu
 
Ina maana kwamba azam wanaichukulia simba kawaida zaidi na ndio maana maandalizi ni ya kawaida kabisa,

Yaani eti pisi kali inakuja then usijiandae, halafu ije pisi mbovu ujiandae? Unajiandaa nini sasa?

Pia tunajua wazi hata bakhresa mwenyewe ana kadi ya simba kuna nini hapo?

Team ndogo (azam) hufanya maandalizi makubwa pale zinapokutana na wakubwa (yanga).

Wakati team ndogo kama azam, simba,geita,ruvu, polisi,mbeya kwanza and the like zinafanya maandalizi ya kawaida tu sababu hakuna la maana na zote zina uwezo sawa waogope nini?
Kama ni kadi GSM mwenyewe ana kadi ya Simba
 
Kumbe kwa vigezo hivyo utaona Simba ambayo imefika robo mara 4 mfululizo sio ya kuiweka kwenye mizani moja na timu zingine

Naona umeelewa sasa kuwa timu yako ili ipate authority ya kujifananisha na mimi inatakiwa iwe imefikia hizo record tena record ziwe za recently usituambie habari za 47BC hapa

Robo fainali mara 4 mfululizo unazungumzia kombe gani ?

Mkiitwa mbumbumbu mnataka kurusha ngumi
 
Ni unyonge ndio unaopelekea hali hiyo

Azam kumchukulia Yanga kama mpinzani mkubwa ni sahihi kwasababu wanatoshana kinguvu

Azam kuichukulia mechi na Simba katika level tofauti na kiupinzani ni ushahidi kuwa wao ni wanyonge kwa Simba hakuna wanaloweza kulifanya likawa kiasi cha kuona impact ya upinzani wao dhidi ya Simba

Unapokuwa kwenye maandalizi na timu ambayo ni level zako (japo umeizidi kidogo) lazima kuwe na utofauti wa kimolari na pale unapokuwa upo kwenye season na mpinzani aliyekuzidi

Hayo mameno ya kusema fainali angeyasema kwa kui refer simba kwangu mimi inge sound ridiculous sana.

Azam kui treat mechi yake na Yanga kwa viwango vya fainali naunga mkono hoja hiyo kwasababu katika duru la soka wote wako level moja utofuti hii timu nyinginr ina amini sana kwenye historia za miaka ya BC kama makala za jamaa mmoja anaitwa mohhammed said

Hii mechi na Azam sisi tunaichukulia kama mechi zingine na timu ndogo tulizocheza nazo kama Yanga, Ruvu, Geita nk
We jamaa umekunywa maji ya bendera ya makolo sio bure
 
Akizungumza kwenye kipindi cha uchambuzi pale clouds TV &FM.

Aliyewahi kuwa kiungo wa simba,azam,na team ya taifa amri kiemba amefichua wazi kwamba maandalizi ya mechi ya yanga na azam,wao azam huwa wanafanya kama finali tofauti na simba sababu kubwa anaijua yeye..

"Mimi nimecheza mpira azam na simba, nilipokuwa azam maandalizi ya mechi na yanga yalikuwa makubwa yaani kama finali, ila tukiwa tunacheza na simba basi inakuwa kawaida tu kama mechi zingine tu. Hivyo ingekuwa ni yanga na azam inapigwa basi kungekuwa na promo na maandalizi mengi"

Amehitimisha mchezaji huyo mkongwe..

Je, hii inakupa picha gani? Kwamba simba na azam ni kama mtu na mkewe? Ama azam ilianzishwa kumpa upinzani yanga?

Napata mashaka sana na mechi hiyo azam lazima wataachia wafungwe, hivi mara ya mwisho azam kuwafunga simba lini?

Hapa mechi hii inabidi ichunguzwe sana kiuhalisia simba hii mbovu na azam mbovu hapo azam anatakiwa ashinde laknil utaona wanaaachia wafungwe makusudi..
Kwenye ligi mara ya mwisho Azam alishinda dhidi ya simba mwaka 2017 mwezi january
 
Ni unyonge ndio unaopelekea hali hiyo

Azam kumchukulia Yanga kama mpinzani mkubwa ni sahihi kwasababu wanatoshana kinguvu

Azam kuichukulia mechi na Simba katika level tofauti na kiupinzani ni ushahidi kuwa wao ni wanyonge kwa Simba hakuna wanaloweza kulifanya likawa kiasi cha kuona impact ya upinzani wao dhidi ya Simba

Unapokuwa kwenye maandalizi na timu ambayo ni level zako (japo umeizidi kidogo) lazima kuwe na utofauti wa kimolari na pale unapokuwa upo kwenye season na mpinzani aliyekuzidi

Hayo mameno ya kusema fainali angeyasema kwa kui refer simba kwangu mimi inge sound ridiculous sana.

Azam kui treat mechi yake na Yanga kwa viwango vya fainali naunga mkono hoja hiyo kwasababu katika duru la soka wote wako level moja utofuti hii timu nyinginr ina amini sana kwenye historia za miaka ya BC kama makala za jamaa mmoja anaitwa mohhammed said

Hii mechi na Azam sisi tunaichukulia kama mechi zingine na timu ndogo tulizocheza nazo kama Yanga, Ruvu, Geita nk
Akili ni nywele kila mtu ana zake.
Tafsiri yake swala akikutana na fisi anatakiwa akimbie sana kuliko akikutana na chui! Aliyewaita ALIYEWAITA MAKOLO HAJAKOSEA
 
Kwanini asianze kuchunguzwa golikipa wa Dodoma Jiji ambaye alirushia mpira wavuni kwake kabisa
Yule Kipa ndie alistahiki kupigwa teke na Kocha wake
Maana alivyoona Mayele hafungi na yeye mzigo ulishaeleweka akaamua kutupia mpira kambani.
 
Siyo hilo tu, Kiemba amewahi kusema wakati anacheza Azam mechi ya Azam na Simba ilikuwa huwezi kumwona kiongozi yeyote wa Azam kambini kuwapa hamasa au kuahidi motisha kwa wachezaji, lakini mechi dhidi ya Yanga viongozi wa Azam wanakuwa wanapishana kambini na kutoa ahadi nyingi za motisha waifunge Yanga.
 
Unaposema wakubwa wenzenu ni ahly ahly and the like
Tunajua ahly ahly ni mabingwa karibu mara jumi CAF na wameingia final mara tatu mfululizo wakati simba haeajahawa kunusa final achilia mbali kufika nusu .!

Ahly ahly wana uwanja simba mpaka wakitembeza bakuri na hela haikufika hata bilioni 5! Kweli wakubwa wenzenu hao.[emoji23][emoji23].

Ahly ahly anachezaga CAF wakati simba anacheza shirikisho na bado akafumuliwa na team ya hovyo orando ambayo msimu ujao haina uhakika kushiriki tena [emoji23][emoji23].

Mbaya zaidi na faini juu sababu ya uchawi na matambiko, si wenzenu ahly ahly huwa wanaroga eeh na wakapigwa faini?[emoji23][emoji23]

Hebu nicheke
Sasa kama ndio ujinga alio mezeshwa unategemea ateme nini kama sio huwo ujinga.
Ukitaka kujua kama wamemezeshwa wafuatilie washabiki wote wa Simba wanapo jifananisha na Al ahly .
Maneno yao yote yanafanana hawaongezi wala kupunguza hata neno moja
 
Akizungumza kwenye kipindi cha uchambuzi pale clouds TV &FM.

Aliyewahi kuwa kiungo wa simba,azam,na team ya taifa amri kiemba amefichua wazi kwamba maandalizi ya mechi ya yanga na azam,wao azam huwa wanafanya kama finali tofauti na simba sababu kubwa anaijua yeye..

"Mimi nimecheza mpira azam na simba, nilipokuwa azam maandalizi ya mechi na yanga yalikuwa makubwa yaani kama finali, ila tukiwa tunacheza na simba basi inakuwa kawaida tu kama mechi zingine tu. Hivyo ingekuwa ni yanga na azam inapigwa basi kungekuwa na promo na maandalizi mengi"

Amehitimisha mchezaji huyo mkongwe..

Je, hii inakupa picha gani? Kwamba simba na azam ni kama mtu na mkewe? Ama azam ilianzishwa kumpa upinzani yanga?

Napata mashaka sana na mechi hiyo azam lazima wataachia wafungwe, hivi mara ya mwisho azam kuwafunga simba lini?

Hapa mechi hii inabidi ichunguzwe sana kiuhalisia simba hii mbovu na azam mbovu hapo azam anatakiwa ashinde laknil utaona wanaaachia wafungwe makusudi..

Hii inaonyesha ni jinsi gani UTOPOLO hawajiamini kabisaa

Yaani mpaka sasa Uto hawaamini kama wanakuaje mabingwa mbele ya Mnyama?

Sasa kweli Simba aanze kumuhonga Azam kwani Uto hawataahinda tena game zao zilizo bakia?

Ni kama Uto wanajaribu kutengeneza excuse iwapo wataboronga game zao na Mnyama akashinda zote
 
Sasa kama ndio ujinga alio mezeshwa unategemea ateme nini kama sio huwo ujinga.
Ukitaka kujua kama wamemezeshwa wafuatilie washabiki wote wa Simba wanapo jifananisha na Al ahly .
Maneno yao yote yanafanana hawaongezi wala kupunguza hata neno moja
Yaani huwa nacheka sana utaskia kocha pitso alisema kwa mkapa uwanja mgumu kuliko vyote alivyowahi kuona.

Ukiuliza nani alikuwa bingwa huo msimu? Ni ahly ahly huyo huyo..! Na simba wakiishia wapi? Unabaki kushangaa tu..

Wazoee tu mkuu 😂😂😂😂
 
Hii inaonyesha ni jinsi gani UTOPOLO hawajiamini kabisaa

Yaani mpaka sasa Uto hawaamini kama wanakuaje mabingwa mbele ya Mnyama?

Sasa kweli Simba aanze kumuhonga Azam kwani Uto hawataahinda tena game zao zilizo bakia?

Ni kama Uto wanajaribu kutengeneza excuse iwapo wataboronga game zao na Mnyama akashinda zote
Swala ni hili la azam kuwachiak simba mara wanapocheza .

Niambie lini azam alimfunga simba mara ya mwisho?.
 
Siyo hilo tu, Kiemba amewahi kusema wakati anacheza Azam mechi ya Azam na Simba ilikuwa huwezi kumwona kiongozi yeyote wa Azam kambini kuwapa hamasa au kuahidi motisha kwa wachezaji, lakini mechi dhidi ya Yanga viongozi wa Azam wanakuwa wanapishana kambini na kutoa ahadi nyingi za motisha waifunge Yanga.
Na ndio maana hii team kila siku inazidi kudidimia chini wanazidiwa hata na geita sababu hii ya kuendeleza undugu wao .
Simba na azam adui wao ni yanga siku zote tu..

Chukua mechi mbili za mwisho ambazo azam alicheza na yanga uone ilivyokuwa tough game azam wanakamia sana,

Lakini wakicheza na simba wanalegea rejea mechi ile ya mapinduzi kule Zanzibar kigonya na wenzie walivyofanya ujinga makusudi..
 
Back
Top Bottom