Amri kiemba: Azam wakiwa wanajiandaa kucheza na Yanga maandalizi ni kama final, tofauti wakicheza na Simba

Hongera sana mkuu
 
Kama ni kadi GSM mwenyewe ana kadi ya Simba
 

Robo fainali mara 4 mfululizo unazungumzia kombe gani ?

Mkiitwa mbumbumbu mnataka kurusha ngumi
 
We jamaa umekunywa maji ya bendera ya makolo sio bure
 
Kwenye ligi mara ya mwisho Azam alishinda dhidi ya simba mwaka 2017 mwezi january
 
Akili ni nywele kila mtu ana zake.
Tafsiri yake swala akikutana na fisi anatakiwa akimbie sana kuliko akikutana na chui! Aliyewaita ALIYEWAITA MAKOLO HAJAKOSEA
 
Kwanini asianze kuchunguzwa golikipa wa Dodoma Jiji ambaye alirushia mpira wavuni kwake kabisa
Yule Kipa ndie alistahiki kupigwa teke na Kocha wake
Maana alivyoona Mayele hafungi na yeye mzigo ulishaeleweka akaamua kutupia mpira kambani.
 
Siyo hilo tu, Kiemba amewahi kusema wakati anacheza Azam mechi ya Azam na Simba ilikuwa huwezi kumwona kiongozi yeyote wa Azam kambini kuwapa hamasa au kuahidi motisha kwa wachezaji, lakini mechi dhidi ya Yanga viongozi wa Azam wanakuwa wanapishana kambini na kutoa ahadi nyingi za motisha waifunge Yanga.
 
Sasa kama ndio ujinga alio mezeshwa unategemea ateme nini kama sio huwo ujinga.
Ukitaka kujua kama wamemezeshwa wafuatilie washabiki wote wa Simba wanapo jifananisha na Al ahly .
Maneno yao yote yanafanana hawaongezi wala kupunguza hata neno moja
 

Hii inaonyesha ni jinsi gani UTOPOLO hawajiamini kabisaa

Yaani mpaka sasa Uto hawaamini kama wanakuaje mabingwa mbele ya Mnyama?

Sasa kweli Simba aanze kumuhonga Azam kwani Uto hawataahinda tena game zao zilizo bakia?

Ni kama Uto wanajaribu kutengeneza excuse iwapo wataboronga game zao na Mnyama akashinda zote
 
Sasa kama ndio ujinga alio mezeshwa unategemea ateme nini kama sio huwo ujinga.
Ukitaka kujua kama wamemezeshwa wafuatilie washabiki wote wa Simba wanapo jifananisha na Al ahly .
Maneno yao yote yanafanana hawaongezi wala kupunguza hata neno moja
Yaani huwa nacheka sana utaskia kocha pitso alisema kwa mkapa uwanja mgumu kuliko vyote alivyowahi kuona.

Ukiuliza nani alikuwa bingwa huo msimu? Ni ahly ahly huyo huyo..! Na simba wakiishia wapi? Unabaki kushangaa tu..

Wazoee tu mkuu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Swala ni hili la azam kuwachiak simba mara wanapocheza .

Niambie lini azam alimfunga simba mara ya mwisho?.
 
Timu yenyewe ushasema ni SIMBA Nani hamuoogopi Simba?
 
Na ndio maana hii team kila siku inazidi kudidimia chini wanazidiwa hata na geita sababu hii ya kuendeleza undugu wao .
Simba na azam adui wao ni yanga siku zote tu..

Chukua mechi mbili za mwisho ambazo azam alicheza na yanga uone ilivyokuwa tough game azam wanakamia sana,

Lakini wakicheza na simba wanalegea rejea mechi ile ya mapinduzi kule Zanzibar kigonya na wenzie walivyofanya ujinga makusudi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…