Amri Kiemba: Simba Imepata Tuzo ya Kujaza Watu Uwanjani Sio Mashabiki Bora

Amri Kiemba: Simba Imepata Tuzo ya Kujaza Watu Uwanjani Sio Mashabiki Bora

Ni ukweli
20231112_200225.jpg

😂😂
 
Ni kweli, ila kwa akili tu ya kawaida, shabiki bora anapatikanaje bila ya kwenda uwanjani kwa kiingilio kwa ajili ya mechi ya timu yake? Ubora unaanzia kwa kujaa uwanjani.

Ova
Acheni kukaza shingo, Kiemba yuko sahihi 🤣🤣
 
Mbona haijaandikwa Simba Fans?

Kifupi hiyo siyo tuzo ya Simba bali wapenzi wote wa soka waliohudhuria mechi ile ya Al Ahly na Simba wakiwemo mashabiki wa Yanga, Simba, Al Ahly na wapenzi wengine wote wa mpira!

Pelekeni TFF hiyo tuzo ni mali ya Taifa!
Eti mashaibiki wa yanga🤣🤣 nyie utopolo mambo kam yale humuwez ,,,basi kilopo lopo wenu aliye kuwa anajipendekeza si angeitwa apewe kwa niaba yenu😜
 
Wachambuzi wa bongo akili ndo kitu hawakupewa,,mbon wydad alkuwa anajaza uwanja na hajapewa hyo tuzo na kacheza gem 3 nyumbani
 
Si ndo
Kuna tabia naiona kama inazidi kukua nchini, ya mashabiki wa soka kuona wachambuzi wa soka kama mbadala wa kufikiria kwao, yaani wao hawawezi kuwaza au kuelewa jambo bila wachambuzi.

Lakini, kuna baadhi ya vitu havihitaji wachambuzi ili kuelewa, huwa viko wazi. Mfano ni hiki alichosema Kiemba hapa, Hadi anashindwa kueleweka, anatenganisha kujaa uwanjani na kutoa sapoti.

Vipo vipengele kadhaa vya mashabiki bora, kimojawapo ni kujaa uwanjani. Ubora wa shabiki hauwezi kuonekana kwenye mchezo bila ya kuingia uwanjani. Kushangalia hadi kuvua nguo hilo ni jambo jingine.

Pia, sifa kuu ya mashabiki ni kujaa uwanjani kila timu yake inapocheza. Sasa unapokataa ubora wa mashabiki wa Simba, hata huko kwa kujaa uwanjani, inashangaza sana.

Ova
Si ndo Hapo kisa kuna mtu kaajiliwa media flan anaropoka tu basi kuna watu nae wanajifanya eti kumwamini ,,utazani wao hawana macho
 
Vitu vingine kujadili na mtu tayari ana jibu lake ni kujichosha...
Muwaulize waliotoa hyo tuzo wawape sababu...
 
Huyu Jamaa namuonaga hana Akili.. sijui hiyo kazi walimpaje
 
Huyu Jamaa namuonaga hana Akili.. sijui hiyo kazi walimpaje
Amri Kiemba ni mchambuzi bora kabisa wa soka, anachambua kwa facts maana ameucheza anajua anaongea nini.

Kama hujapenda alichokisema usimvue heshima yake Mkuu.
 
Amri Kiemba ni mchambuzi bora kabisa wa soka, anachambua kwa facts maana ameucheza anajua anaongea nini.

Kama hujapenda alichokisema usimvue heshima yake Mkuu.
KIemba anajua kuchambua mechi tu ya soka, kwa sababu alikuwa mchezaji wa soka wa daraja la juu, pia ana mafunzo ya awali ya ukocha.

Lakini, siyo kwamba anaweza kuchambua kila kitu kuhusu soka. Kwenye hili la tuzo ya mashabiki bora wa soka Afrika, Kiemba amekosea kwa uchambuzi wake.

Ova
 
KIemba anajua kuchambua mechi tu ya soka, kwa sababu alikuwa mchezaji wa soka wa daraja la juu, pia ana mafunzo ya awali ya ukocha.

Lakini, siyo kwamba anaweza kuchambua kila kitu kuhusu soka. Kwenye hili la tuzo ya mashabiki bora wa soka Afrika, Kiemba amekosea kwa uchambuzi wake.

Ova
Wewe ni mkweli sana, ndio maana nakukunda b…

Hapo kwenye uchambuzi wa mechi uko sahihi kwa asilimia zote, huwa napenda sana kumsikiliza maana huwa anaongea madini matupu na kwa utulivu mkubwa sana.

Hayo mengine ni maoni jamani sio uchambuzi, acheni mihemuko. Lol
 
Back
Top Bottom