NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Amri Kiemba katoa maoni yake baada ya Mo dewji kusema kuwa aliinunua Simba sc miaka mitano iliyopita.
Video hii hapa.
Video hii hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Useme pia huyo mwenye pointi 8, alishafuzu tayari huku akiwa na mchezo mmoja mkononi! Na hivyo mchezo wa mwisho alikuwa anakamilisha tu idadi ya michezo.Ipo timu Imekwolifai kwa Points 8, na Pia ipo iliyokwolifai kwa Points 9...
Ajabu sasa aliyekwolifai kwa Points 8 ana ngenga huyooo...
Ubora wa timu + mbinu za mwalimHivi ina maana kuwa kundi hilo lilikuwa na timu vibonde? Kama una qualify na point chache na mchezo mkononi?
sasa katika hoja hii ni hoja.Ipo timu Imekwolifai kwa Points 8, na Pia ipo iliyokwolifai kwa Points 9...
Ajabu sasa aliyekwolifai kwa Points 8 ana ngenga huyooo...
CHA MSINGI HAPA NI HILI SWALA TIMU YENYE POINTS 9 NI MALI HALALI YA MUDDY GUY...Ipo timu Imekwolifai kwa Points 8, na Pia ipo iliyokwolifai kwa Points 9...
Ajabu sasa aliyekwolifai kwa Points 8 ana ngenga huyooo...
Huu mwandiko ni wa Laban og kabisa kabisa, najua kwa sasa Laban og kapigwa ban, lakini mwandiko wake haujapigwa ban.Amri Kiemba katoa maoni yake baada ya Mo dewji kusema kuwa aliinunua Simba sc miaka mitano iliyopita.
Sawa endelea kujiuliza Mimi ni Nani?!Huu mwandiko ni wa Laban og, najua Laban og kapigwa ban.
Leo nimeamini kuna watu hapa jf wana acc 22.
Mambo Laban [emoji23][emoji23]
Watu wanapenda kujizima data mzeeMada ni kiemba kusema Simba bado iko ktk mchakato lkn kinachojadiliwa sasa
Hahahahaha...dahWatu wanapenda kujizima data mzee
Inategemea ume qualify kupitia group lenye uzito upi,haya makundi hayafanani ugumu!Ipo timu Imekwolifai kwa Points 8, na Pia ipo iliyokwolifai kwa Points 9...
Ajabu sasa aliyekwolifai kwa Points 8 ana ngenga huyooo...
Imeisha hiyo hakuna cha kujiuliza bali umeshajulikana yaani nyuzi za NALIA NGWENA na Laban og mwandishi ni yule yule 🤣Sawa endelea kujiuliza Mimi ni Nani?!
UMESHINDWA KABISA KUJIKITA KWENYE HOJA UMEANZA KUTEMA MASHUDU (PUMBA).Imeisha hiyo hakuna cha kujiuliza bali umeshajulikana yaani nyuzi za NALIA NGWENA na Laban og mwandishi ni yule yule [emoji1787]
Hakuna hoja mpya hapa tujadili nini sasa?UMESHINDWA KABISA KUJIKITA KWENYE HOJA UMEANZA KUTEMA MASHUDU (PUMBA).
JIKITE KWENYE HOJA.