Amri Kiemba: Simba SC haina Katiba ya kuruhusu imilikiwe na mtu mmoja, ndiyo wapo kwenye mchakato wa kutengeneza katiba

Amri Kiemba: Simba SC haina Katiba ya kuruhusu imilikiwe na mtu mmoja, ndiyo wapo kwenye mchakato wa kutengeneza katiba

Kiemba kaongea ujinga, mkutano wa Simba kulikuwa na vurugu Ila bahasha za waandishi zilifanya Kama kuonekana Mambo shwari.
Serikali iliwaambia Simba warekebishe katiba Ila walienda kufanya kinyume na tayari taarifa zitafika.
Si muda mrefu mtamsikia mo akilalamika kukwama kwa mchakato Ila anayeukwamisha ni yeye kwa kuchonga watu wachache.
 
Kiemba kaongea ujinga, mkutano wa Simba kulikuwa na vurugu Ila bahasha za waandishi zilifanya Kama kuonekana Mambo shwari.
Serikali iliwaambia Simba warekebishe katiba Ila walienda kufanya kinyume na tayari taarifa zitafika.
Si muda mrefu mtamsikia mo akilalamika kukwama kwa mchakato Ila anayeukwamisha ni yeye kwa kuchonga watu wachache.
UJINGA WA KIEMBA UPO WAPI.?!
 
Kiemba kaongea ujinga, mkutano wa Simba kulikuwa na vurugu Ila bahasha za waandishi zilifanya Kama kuonekana Mambo shwari.
Serikali iliwaambia Simba warekebishe katiba Ila walienda kufanya kinyume na tayari taarifa zitafika.
Si muda mrefu mtamsikia mo akilalamika kukwama kwa mchakato Ila anayeukwamisha ni yeye kwa kuchonga watu wachache.
INAONEKANA MKUU KUNA MAMBO MENGI UNAYAJUA.

JAZIA JAZIA NYAMA MKUU.
 
UJINGA WA KIEMBA UPO WAPI.?!
Serikali ilishatoa utaratibu kuwa klabu zinazomilikiwa na wananchi zisiuze hisa zaidi ya asilimia 49 na pia hizo hisa zisimilikiwe na wawekezaji wasiopungua watatu je Hilo Simba limefanyika?
Yanga watakaponya uwekezaji ndipo wanasimba watajua kuwa mo ni mhuni
 
Amri Kiemba yuko sahihi, ila watakuja watu hapa kumvaa yeye binafsi badala ya hoja zake.
Tajiri wa Simba ni MO au ni Kiembe?
Rais wa Heshima wa Simba ni MO au ni Kiembe?
Mwenye hisa nyingi Simba ni MO au ni Kiembe?
Anaetoa Mabillion Simba ni MO au ni Kiembe?
Boss wa Simba ni MO au Kiembe?
Akiweka hapa MO hapa Kiembe wakaambiwa waongee utamsikiliza MO au utamsikiliza Kiembe?
 
Tajiri wa Simba ni MO au ni Kiembe?
Rais wa Heshima wa Simba ni MO au ni Kiembe?
Mwenye hisa nyingi Simba ni MO au ni Kiembe?
Anaetoa Mabillion Simba ni MO au ni Kiembe?
Boss wa Simba ni MO au Kiembe?
Akiweka hapa MO hapa Kiembe wakaambiwa waongee utamsikiliza MO au utamsikiliza Kiembe?
UMEMSIKILIZA VIZURI KIEMBA AU UNABISHA TU?!

MSIKILIZE TENA KISHA UJE KUJENGA HOJA
 
Katiba madudu gani? Watu wanaweka kibunda we unawaletea habari gani? Pesa alizomwaga Mo miaka 5 huyo Kiembe Mbuzi anaweza kumwaga? Mwambie aache jeuri Mo kasema ameinunua Simba clip IPO
Unajua maana ya kununua timu mzee aifanye basi iwe Kama ya Bakhresa
 
Ndio anawajengea na uwanja kule Goba soon Simba itakua na uwanja km Azam Complex Mbagara Chamazi,
KULIKUA NA HAJA GANI KUPITISHA BAKULI KWA MASHABIKI NA WAKATI TIMU YAKO

HUYO MO DEWJ NI CHUPLI CHUPLI TU.
 
Ukizipanga zile Timu zote 8 zilizokwolifai kwa Points, Yanga anaburuza Mkia...!

Usibishe, we zipange uone...! Sasa kwa kuchonga Utopolo hawajambo.!

Sasa goli Linaamishwa kwamba eti Lile kundi ndio Gumu.!
CRB keshajichokea kitambo...! Mnyama angemburuza 7 kama Horoya iwapo wangekutana!
 
Ukizipanga zile Timu zote 8 zilizokwolifai kwa Points, Yanga anaburuza Mkia...!

Usibishe, we zipange uone...! Sasa kwa kuchonga Utopolo hawajambo.!

Sasa goli Linaamishwa kwamba eti Lile kundi ndio Gumu.!
CRB keshajichokea kitambo...! Mnyama angemburuza 7 kama Horoya iwapo wangekutana!
JIBU SWALI AME QUALIFY AU HAJA QUALIFY?!
 
Back
Top Bottom